• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkaguzi wa ndani

KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI (INTERNAL AUDIT UNIT)

HISTORIA FUPI: 
Kitengo cha Mkaguzi wa ndani wa Hesabu (Internal Audit Unit) kilianzishwa mwaka 2004 ikiwa ni moja ya Mkakati wa maboresho katika Usimamizi wa Fedha katika Serikali za Mitaa.

 

Utangulizi  
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani ni Kitengo ambacho kina jukumu la Kumshauri Afisa Masuuli (Mkurugenzi ) na kutoa ushauri kwa Idara zingine ndani ya Halmashauri  ili kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Kitengo hiki kinaongozwa na Mkaguzi Mkuu wa Ndani ambaye anaripoti kwa AFISA MASUULI(Mkurugenzi ). Pia, Kitengo kinafanya kazi zake kwa mashauriano na Kamati ya Ukaguzi ya Halmashauri ya Wilaya(Audit Committee)

Madhumuni ya Kitengo

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kinawajibu wa kufanya kaguzi juu ya utekelezaji wa majukumu ya Halmashauri pamoja na usimamizi wa rasilimali za Halmashauri na kutoa ushauri kwa Afisa Masuuli unaolenga kuboresha huduma za Halmashauri  ili kufikia Malengo yalivyopangwa.

Muundo wa Kitengo 

Kitengo kinaongozwa na Mkaguzi Mkuu wa Ndani akisaidiwa na Wakaguzi wa Ndani.

Majukumu ya Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani. 
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kina majukumu yafuatayo:-

MAJUKUMU YA KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

Kutoa ushauri kwa Afisa masuuli kuhusu namna bora ya kusimamia rasilimali.

Kupitia na kutoa taarifa kuhusu namna bora ya kutumia na kuhifadhi rasilimali fedha za Halmashauri.

Kupitia na kutoa taarifa kuhusu uzingatiwaji wa kanuni na miongozo ya matumizi inayoongoza Serikali za Mitaa na Serkali kwa ujumla ili kuwa na matumizi bora ya fedha.

Kupitia na kutoa taarifa kuhusu ubora wa mifumo ya kompyuta iliyopo katika kusimamia matumizi bora ya fedha.

Kupitia na kutoa taarifa kuhusu mifumo iliyopo Halmashauri inayosimamia mali kama inakidhi mahitaji ya matumizi bora.

Kuandaa mpango mkakati wa ukaguzi.

Kuratibu shughuli za ukaguzi wa ndani.

Kufanya ukaguzi kuhusu thamani halisi ya fedha kwa huduma na bidhaa zilizonunuliwa.

Kuandaa mpango kazi wa mwaka na kuuwasilisha kwa Mkaguzi Mkuu wa ndani wa Serikali (IAGD), Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu na Kwa Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa.

Kupitia na kutoa taarifa juu ya udhibiti wa stakabadhi na utunzaji na matumizi ya rasilimali za Halmashauri.

Kushughulikia masuala ya Ukaguzi wa Miradi (Performance Appraissal of Development Projects)

Kufanya tathmini juu ya ufanisi (Effectiveness) katika ngazi zote za Utawala kwenye Wizara/Idara/Mkoa unaohusika kuona ni jinsi gani wanasimamia mali (Resources) na kuona kama taratibu zinafuatwa.


MIKAKATI YA IDARA: 
• Kuhakikisha kwamba mfumo wa udhibiti wa ndani unaimarishwa.


Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.