• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

“LIPENI KODI”

imetumwa: July 17th, 2019

Kauli hii imetolewa leo na waziri wa madini MHE. Doto Biseko wakati wa mkutano wa hadhara katika kijiji cha kakola ndani ya Halmashauri ya Msalala

wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. Katika mkutano huu viongozi mbalimbali walihudhuria akiwemo Katibu Tawala ndg. Simon Ndanya ambaye alimuwakirisha

Mkuu wa Wilaya, Meneja wa mamlaka ya madini mkoa wa Shinyanga, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Msalala ndg. Simon Berege, vyombo vya ulinzi na usalama,

Wakuu wa idara na vitengo na wananchi. Mkutano huo uliwahusu wachimbaji wadogo wadogo ambapo Mhe. Biteko aliwataka wachimbaji hao kulipa kodi ya Serikali.


Waziri huyo amesema lengo la Serikali ya awamu ya tano ni kuhakikisha watanzania wananufaika na rasilimali zao ambazo Mwenyezi Mungu amewajalia hivyo kutoa rai

kwa watanzania wote hususani wanaojihusisha na biashara ya madini kuepuka migogoro isiyokuwa ya lazima na Serikali kwa kuhakikisha wanalipa kodi kwa madini wanayonunua

na kuepuka kusafirisha nje ya nchi madini hayo pasipo kulipa ushuru wa Serikali kwani kufanya hivyo ni kurudisha nyuma jitihada zinazofanywa na MHE. Rais John Pombe Magufuli

za kuwaletea wananchi maendeleo. Unapolipa kodi barabara, hospitali, shule zitajengwa pamoja na upatikanaji wa huduma bora za maji na umeme kwani maendeleo yetu yataletwa

na watanzania wenyewe hivyo tulipe kodi.


Hatua mbalimbali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wale wote watakaokamatwa kutorosha madini pasipo kulipia kodi ya Serikali, miongoni ya adhabu hizo ni kutaifishwa kwa madini yatakayokamatwa na kufirisiwa kwa mali zake zote hivyo nawaomba wana kakola kujiepusha na biashara haramu kwani imeshakuwa zilipendwa. MHE. Biseko ametoa mifano wa watu wanaofanya

biashara za dhahabu pasipo kulipa kodi ya Serikali katika eneo hilo la kakola na kusema tayari wafanyabiashara hao wamekamatwa hivyo kuwataka wachimbaji wadogo wadogo kuuza dhahabu zao

kwenye masoko ya Dhahabu yanayotambuliwa na Serikali ili kuwezesha Serikali kupata mapato na hivyo kuunga mkono jitihada za Rais wetu.

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Nafasi za Kazi za Udereva February 12, 2020
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUUZA MAGARI NA CHUMA CHAKAVU October 09, 2017
  • PICHA ZA GARI AINA YA ISUZU, TOYOTA LANDCRUISER NA NISSAN PATROL NA CHUMA CHAKAVU VITAKAVYOUZWA October 10, 2017
  • Tazama yote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YAONGEZA BAJETI YA MADAWA

    January 28, 2021
  • Halmashauri kutoa fedha kwa wananchi nje nje

    June 30, 2020
  • MAANDIKO YAIBEBA HALMASHAURI

    January 30, 2020
  • Kamati ya Lishe yajizatiti kuhakikisha jamii inakuwa na afya bora

    November 29, 2019
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Igomelo area

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 16 KAHAMA

    Simu ya mezani: +255 271 0 182

    Namba za simu:

    Baruapepe: ded@msalaladc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.