Sungusungu itumike kulinda miradi yote ya maendeleo katika vijiji vyetu kwani miradi mingi imekuwa ikihujumiwa kwa kuibiwa na wanachi wasio waaminifu
Mbunge wa Msalala Mh. Ezekiel Maige aiomba Serilkali ya awamu ya tano kuboresha huduma katika sekta ya kilimo na mifugo pia aliiomba Serikali kusaidia upatikanaji wa chakula Mkoa wa Shinyanga ili kupunguza wimbi la upungufu wa chakula.
Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.