• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Huduma za Maji

Idara ya Maji

Halmashauri ya Msalala ina jumla ya wakazi 250,727 kati yao 129,376 wanapata huduma ya Maji safi na salama ambao ni sawa na asilimia 51.6.Halmashuri ina jumla ya miradi ya maji ya bomba na Visima 347, .kati ya miradi hiyo visima virefu ni 48 vilivyofungwa pampu za mkono, visima vifupi vipo 275 vilivyofungwa pampu za mkono, mabwawa 6, miradi 6 ya maji ya Mtiririko (Gravity scheme) na miradi 2 inatumia nguvu ya jua.

Mafanikio

  • Ujenzi wa mradi wa Maji wa Igombe na Mhama umekamilika na una vituo 10 vya maji pamoja na mabirika 2 kwa ajili ya matumizi ya mifugo.
  •    

    Kielelezo 26.Ujenzi wa tanki lenye lita 75,000 ukiendelea katika Kijiji cha Igombe

      
    • Aidha hadi kufikia mwezi Julai, 2017 Ujenzi umekamilika na kukabidhiwa kwa jumuiya ya Watumiaji maji ukiwa na tanki lenye ujazo wa lita 75,000, vituo 10 vya kuchotea maji pamoja na mabirika 2 ya kunyweshea mifugo
      

    Kielelezo 27.Ujenzi wa vituo vya Maji, Usambazaji bomba na Birika la kunyweshea mifugo

      

    Aidha tanki la kupokelea maji katika kijiji cha Igombe limekamilika na maji yanatoka katika vituo 12 vya kusambazia maji.

       

    Kielelezo 28.Tanki kubwa lenye ujazo wa lita 75,000 kwa ajili ya kusambazia maji likiwa limekamilika

      
    • Pia Idara ya maji imefanikiwa kufufua na kufanya ukarabati wa Visima visivyopungua 45 taratibu za kushughulikia matatizo ya miradi ya maji iliyokuwa haifanyi kazi zinaendelea kulingana na taarifa zinapopatikana kutoka katika maeneo husika.
     


    Kielelezo 29.ufufuaji wa visima vya maji katika baadhi ya maeneo

     
    • Usanifu wa mradi wa maji wa Nduku – Busangi, Nyamigege, Gula, Kisuke, Ntundu, Ntobo na Makao Makuu unaendelea.
    • Kuzijengea uwezo Jumuiya za Watumiaji Maji 10 na kuzifufua 6 pamoja na uhamasishaji kwa jumuiya nyingine 6 mpya za watumia maji.
     

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.