• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

AFISA ELIMU MKOA ATETA NA WALIMU

imetumwa: March 14th, 2018

                                        AFISA ELIMU MKOA ATETA NA WALIMU

Afisa elimu Mkoa wa shinyanga awaasa na kuwakumbusha walimu kutimiza majukumu yao katika mazingira

yao ya kazi haya yamezungumzwa leo na Afisa Elimu huyo Ndg. Mohamed Kahundi katia kikao kilichofanyika

leo tarehe 14/03/2018  katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala ambapo kikao hicho

kilihudhuriwa na Afisa taaruma Mkoa, Walimu wakuu wote wa shule za Msingi na Sekondari, Waratibu Elimu

Kata , Aafisa elimu Msingi na Sekondari pamoja na mzibiti ubora wa shule Wilaya.

Afisa elimu Mkoa aliwataka wadau hao wa elimu kushirikiana kwa pamoja kuimalisha usimamizi wa shule  

ilikuweza kuinua taaluma ya Elimu ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa kwa ujumla,  pia Afisa elimu aliwaagiza

wakuu wa shule kutokuhamisha wanafunzi kiholela waliokatika Madarasa ya mtihani  na badarayake utaratibu

ufuatwe wa uhamishaji wanafunzi kwa njia ya mfumo wa Prem. Smbamba na hilo Afsia elimu alitilia mkazo

uboreshaji na usimamizi wa mazingira ya shule ikiwa ni sambamba na upandaji miti kwa kila mwanafunzi

kama agizo la mkuu wa mkoa linavyo agiza.

Nae afisa taaruma mkoa  Ndg. James Malima  aliwakumbusha walimu hao kufanya kazi kwa kuzingatia maadili

na miiko ya utumishi wa umma, Sambamba na hilo Afisa taaluma huyo aliwataka walimu wakuu kuwasimamia

walimu walio chini yao kwa ukaribu zaidi kwani hii itawafanya Walimu kutekeleza majukumu yao vizuri ikiwa ni

pamoja na ufundishaji mzuri ndani na nje ya darasa. Pia aliwaagiza walimu wote wa Elimu Sekondari na Msingi

kuwasimamia wanafunzi katika ushiriki wa michezo mashuleni kwa shule za umma na za binafsi kwani

michezo ni ajira na nihaki ya msingi kwa watoto.



Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.