• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

AMREFU YATOA MWANGA KWA VIJANA MSALALA

imetumwa: May 16th, 2018

AMREF YATOA MWANGA KWA VIJANA MSALALA

Kikao kilicho andaliwa na shirka la Amrefu katika ukumbi wa Vigmark Hotel Iliyoko Mkoani Shinyanga na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali  toka Mkoani na viongozi  toka Halmashauri ya Msalala ambao ndio wanufaika wa mradi huo. Katika kikao hicho mgeni rasimi alikuwa ni kaimu Mkuu wa Mkoa wa shinyanga Ndg. Albert Msovelo  aliye ongozana na wataaram mbalimbali toka Mkoani pamoja na Meneja mradi Ndg. Sarafina Mkuwa

Katiaka kikao hicho Meneja Mradi Ndg. Sarafina Mkuwa alisema kuwa  mradi wa Amrefu wanao uendesha katiaka Halmashauri ya Msalala unatarajiwa kuwafikia vijana  6041 kati yao wasichana ni 2967 na wavulana ni 3074 ambapo amesema kuwa mradi huo unalenga kuwasaidia watoto wa kike kupunguza mimba za utotoni au kumaliza taito hilo kabisa vijana hao wamepatiwa elimu ya Afya ya uzazi ambayo itawasaidia kujitambua na hivyo kupelekea kupungua  kwa mimba za utotoni.

Pia alisema kuwa mradi huo umewajengea uwezo viongozi wa ngazi ya Mkoa, Wilaya, Kata na vijiji hii yote ni kwa lengo la kumsaidia mtoto wa kike ili aweze kutimiza ndoto zake .

Kaimu Mkuu wa Mkoa nae alieleza kuwa watu wote wanapaswa kutekeleza kwa umakini na kwa usahihi yale yote ambayo waendeshaji wa Mradi wanayatoa napia mradi huu unalengo la kumwelimisha kijana wa kike kwani ukosefu wa elimu na mira potofu ndiyo chanzo cha mimba za utotoni kwa mtoto wa kike pia mradi huu uwe chachu kwa wadau wengine kwani mradi huu utapunguza utoro kwa wanafunzi.

Pia makamo mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya masalala Ndg. Benedicto Manuari aliuomba uongozi wa Shirika la Amrefu kuonauwezekano wa kuongeza muda wa kutoa huduma kwa jamii kwani matokeo ni mazuri lakini muda unakuwa hautoshelezi.




Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.