• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Baraza lakusudia kuongeza Mapato

imetumwa: July 25th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji(W) Ndg.Khamis Jaafar katimba amewashukuru Wah.Madiwani kwa ushirikiano mzuri waliouonyesha katika mwaka wa fedha 2022-23

na kuiwezesha Halmashauri kupata Hati safi ambapo Halmashauri ilikusanya Jumla ya Tshs. 5,538,601.00 sawa na 103% ya kukusanya Tshs. 5,368,800,000.

Malengo haya yamefikiwa kutokana na ushirikiano mzuri uliopo kati ya wataalamu na viongozi mbalimbali ndani ya Halmashauri wakiwemo waheshimiwa

Madiwani na kuomba ushirikiano huo uendelee.


NDG. Katimba amesema katika mwaka huu wa fedha Halmashauri imejipanga kukusanya zaidi kwa kuwa yeye tayari amefanya vikao na wataalamu wote

ngazi ya kijiji,Kata na Halmashauri na kutoa maelekezo mbalimbali huku msisitizo ukiwa ni kuongeza kasi ya ukusanyaji mapato na kuwaomba Waheshimiwa

 Madiwani na Wananchi wote wa Msalala kumuunga mkono katika Jitihada hizo.


Aidha Mkurugenzi huyo amewaomba wananchi wa halmashauri na Watanzania kwa ujumla kuchangamkia fursa za uwekezaji ndani ya Halmashauri

ikiwemo ununuzi wa viwanja katika maeneo ya kata za Isaka, Segese, Kakola na Bulige kwani ni maeneo ya kimkakati kwa kuwa yamepimwa na yana huduma

muhimu kama Maji toka ziwa viktoria,Umeme,Vituo vya Afya, barabara zinazopitika mda wote kwenda Mwanza na Geita. Uchumi wa halmashauri unategemea

madini ya dhahabu ambapo kuna mgodi mkubwa wa Barrick Bulyanhulu na machimbo ya wachimbaji wadogo wadogo ambao wanachajia mapato kwa 75%,Mifugo

Kilimo cha zao na mazao kama Mpunga,dengu,na biashara ndogondogo zinachangia 25%


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Mibako Mabubu amepongeza jitihada zinazofanywa na Halmashauri inayoongozwa na Ndg.Khamis J. Katimba

kwani ndani ya Mda mfupi alioutumikia ndani ya Halmashauri, Mabadiliko yameanza kuonekana na kuahidi kwa niaba ya waheshimiwa Madiwani wote

kutoa Ushirikiano lengo ni kuwezesha Halmashauri kukusanya mapato ili kuwezesha miradi katika kata mbalimbali kutekelezwa kwa wakati.


Katika Kikao hicho Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ulifanyika ambapo Diwani wa Kata ya Mwalugulu Mhe. Frola Sagasaga

mgombea kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) amefanikiwa kutetea kiti chake kwa kupata kura zote 22 za ndio. Pia Mwenyekiti wa Halmashauri

amefanya mabadiliko madogo kwenye kamati za Madiwani za Halmashauri.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini


Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.