• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA KWA KUSHIRIKIANA NA ACACIA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA MAJENGO YA KITUO CHA AFYA .

imetumwa: November 25th, 2017

HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA KWA KUSHIRIKIANA NA  ACACIA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA MAJENGO YA KITUO CHA AFYA .

      Halmashauri ya wilaya ya Msalala yafanya makubaliano na kutiliana saini na kampuni ya uchimbaji madini ya ACACIA pamoja na wakandarasi kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya cha Bugarama kwa awamu ya pili inayo fadhiriwa na kampuni la uchimbaji madini la ACACIA. akizungumza hayo mbele ya wageni mbalimbali na waandishi wa habari Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala Ndg. Zabron Donge amesema kuwa kwakuhakikisha zoezi la ujenzi wa mradi huo linakwenda vizuri Halmashauri imechangia kia si cha Tsh.milioni sabini na tano (million 75) ili kufanikisha ukamilishwaji wa majengo hayo. Pia kaimu mkurugenzi aliwataka wakandarasi kuwatumia wanajamii wanao zunguka eneo husika ilikujipatia kipato mbalimbali pamoja na kuwataka makandarasi waliopatiwa tenda hiyo endapo kunakitu chochote kitakacho tokea nje ya utaratibu waliokubaliana taarifa ipelekwe kwa Mkurugenzi mara moja kwani lengo la ujenzi wa majengo hayo ni kutaka kufikisha huduma kwa jamii ya watanzani.

  Pia Kaimu Meneja wa mgodi wa ACACIA alisema kuwa mradi wa kwanza ulighalimu kiasi cha dola za kimareka laki nne na themanini na tano elfu ambazo ni sawa na Tsh. Bilioni Mmoja Milioni miatisa na milioni tisini  ambapo wanatarajia kutumia kiasi cha dora za kimarekani laki tano ambapo ni sawa na Tsh. Biliono Moja Milioni mia moja themanini na tisa laki sita na sitini na moja elfu miamoja therasini ma mija  ambapo kwa jumla mradi wote utagalimu kiasi cha zaidi ya pesa Kitanzania Bilioni Mbili na pia kuwataka wakandarasi kulipa service levy kwa Halmashauri na kuwa wazarendo kwa kuwatumia wakazi wa maeneo husika hasa kwa kazi za Kitanzanivibalua.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.