• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA SHINYANGA ATAKA WAHESHIMIWA MADIWANI NA WATAALAMU WASHIRIKIANE

imetumwa: May 26th, 2017

MKUU WA MKOA SHINYANGA AWATAKA WAFANYAKAZI KUSHIRIKIANA NA WAH. MADIWANI


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga amewataka Waheshimiwa madiwani na Wataalamu wa Halmashauri ya Msalala kufanya kazi kwa pamoja ilikuweza kutatua matatizo mbalimbali ya wananchi kwalengo la kuleta maendeleo  kwa   Tanzania  kwa Ujumla. Hayo yalisemwa na Mkuu wa Mkoa katika kikao cha baraza la Madiwani la Halmashauri ya Msalala lililokuwa likipitia majibu ya Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali lililofanyika tarehe 26/05/2017 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.

Aliwataka Wataalamu wa Idara mbalimbali pamoja na Vitengo kushirikia na katika kuhakikisha hoja zaukaguzi zinapatiwa majibu na hoja hizo kufungwa kwani hapendi kuona Halmashauri yeyote katika mkoa wa Shinyanga ikiendelea kuwa na hoja pasipo sababu.  Aliwaomba Wakaguzi wa mkoa wazitembelee Halmashauri ilikuweza kukagua miradi iliyokuwa imehojiwa kwa kuwa miradi hiyo tayari imekamilika na inafanyakazi.

Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa aliwataka waheshimiwa madiwani kufanya kazi kwaumoja na kuepuka kuwa na mivutano ambayo hainatija kwani kufanyahivyo nikurudisha nyuma maendeleo ya wananchi wa Msalala. Alisisitiza kutumia uwiano mzuri wa uanzishaji wa miradi ndani ya Halmashauri ilikuhakikisha kila kata inafaidika kutokana na miradi hiyo, kwani lengo kuu la serikali ni kuhakikisha wananchi anapata huduma bora katika Nyanja mbalimbali ikiwemo Maji, Elimu, Afya na Kilimo. Aliwaomba waheshimiwa madiwani na wataalamu kuhakikisha wanawahamasisha wadau mbalimbali wenye uwezo wakujenga viwanda wajenge pia alisema Shinyanga imejaliwa kuwa naardhi nzuri hivyo nivizuri wananchi wakapewa elimu juu ya kuanza mapema kilimo pindi msimu unapo anza.

Mkuu wa mkoa alikabidhi zawadi ya mashuka kwakituo cha afya cha Chela namabati kwashule za msingi nne zinazo patikana katika Halmashauri hiyo. Alimaliza Kikao kwakuwataka wataalamu nawaheshimiwa madiwani kuanzaujenzi wa Makao Makuu mara moja kwakuwa ramani yaujenzi wa makao makuu ilishakamilika natayari Mzabuni alishapatikana. Pia alimtaka Mwenyekiti wa Halmashauri kuangalia uwezekano wakupata sehemu ya kuweka majengo ya muda ya Ofisi ili kuwawezesha wafanyakazi wa Halmashauri ya Msalala kuhamia kwa lengo la kupeleka huduma karibu na wananchi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala Mhe. Mibako Mabubu alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwakuendesha kikao vizuri na kuahidi kutekeleza yote yaliyo zungumzwa katika kikao hicho nakuahidi kufanyakazi kwakujituma na kuwataka waheshimiwa Madiwani kusimamia shughuli zote zinazotekelezwa katika maeneo yao.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.