• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

somo latolewa ukusanyaji Mapato

imetumwa: January 14th, 2022

Mhe. Iddy Kassimu Iddy amependekeza kuundwa kwa kikosi kazi katika maeneo yote ya kukusanyia mapato ya Halmashauri  ili kuondoa mianya ya upotevu wa mapato ya Halmashauri. Timu hiyo iundwe kwa kujumuisha Wah. Madiwani na Wataalamu ili kurahisisha uboreshaji wa mapato hayo.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji (W) ndg. Charles Edward Fussi amekubaliana na pendekezo hilo na kuongeza kusema katika mwaka wa fedha 2022/2023 Halmashauri imepanga kufanya utafiti wa mazao mbadala sanjari na uanzishaji wa skimu za Umwagiliziaji kwani Halmashauri ya Msalala ni kitovu cha uzalishaji wa zao la mpunga kwa kanda ya ziwa ambalo kwa sasa limeathirika kutokana na mvua kuwa hafifu hivyo uanzishaji wa skimu za umwagiliaji utawezesha kilimo hicho kufanyika muda wote.

Wakichangia hoja waheshimiwa madiwani wamesema uanzishaji wa skimu hizo utakuwa muarobaini kwa wakulima wa zao la mpunga ndani ya Halmashauri hiyo kwani mpunga unaolimwa ndani ya Halmashauri unachangia kwa zaidi ya 60% ya mpunga unaozalishwa kanda ya ziwa hivyo pato la wanamsalala litaongezeka kwa kiasi kikubwa, waheshimiwa madiwani wameomba pia Halmashauri kuhamasisha wawekezaji kuwekeza mashine za kisasa za kukoboresha mpunga maeneo yote ya uzalishaji huo.

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Msalala

Matangazo

  • nafasi ya ajira April 20, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KUKUSANYA TAARIFA ZA ANUANI ZA MAKAZI March 02, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIO ITWA KUHUDHURIA MAFUNZO YA ZOEZI LA UKUSANYAJI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI KWA KATA YA BULYANHULU, CHELA, BUGARAMA, NGAYA, BULIGE NA BUSANGI April 04, 2022
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • Tazama yote

Habari mpya

  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • Mabilioni ya Rais yainufaisha Msalala

    January 29, 2022
  • somo latolewa ukusanyaji Mapato

    January 14, 2022
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ntobo Village

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 16 KAHAMA

    Simu ya mezani: +255 271 0 182

    Namba za simu:

    Baruapepe: ded@msalaladc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.