• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA UKAGUZI WA MAENEO YA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA MSALALA

imetumwa: October 30th, 2017

ZIARA YA KUKAGUA MAEEO YA UWEKEZAJI

Ziara ya ukaguzi wa maeneo ya uwekezaji  uliofanyika katika Halmashauri ya Msalala ulibaini  fulsa mbalimbali ambazo zipo ndani ya halmashauri hiyo. Baadhi ya maeneo waliyotembelea ni pamoja na Kata ya Isaka ambapo walikagua eneo lililotengwa kwaajiri ya ujenzi wa maegesho ya magari  akitoa  maelezo  juu  ya eneo hilo Afisa aridhi Ndg Mahmood Jidawy alisema  eneo hilo linaukubwa ha heka 6 na tayari halmashauri ilisha walipa wananchi fidia,mbali na hayo afisa aridhi alisema kuwa eneo lipo karibu na miundo mbinu ya barabara , umeme na maji. Eneo hilo lipo hatua za mwisho kupatiawa hati milki na mpaka sasa tayari eneo hilo limekwisha tengewa kiasi cha Tsh.150,000,000 kwaajili ya uendelezwaji. Sambamba na hilo walikagua eneo la bwawa la  maji lililopo kata hiyo ya Isaka na kujione shughuri nyingi za kimaendeleo zikiendelea kama vile kilimo cha umwagiliaji , uchotaji majimkwa matumizi ya nyumbani  na umyweshaji wa mifugo.

Eneo linguine lililo tembelewa ni bwawa la asili lililopo katikati ya Kata ya Mwalugulu na Kata ya Isakajana katika  kijiji cha Igundu bwawa hili lina ukubwa wa heka 450, eneo hilo  pia linatumika kwa shughuli zingine za kibinadamu kamavile kilimo cha Viazi ,Mbogamboga  mahindi na mpunga  inapofika kipindi cha kiangazi. Bwawa hili liliwahi kukauka mara moja mwaka 2000 mpaka sasa bwawa hilo halijawahi kukauka .

Kata ya Bulige walikgua soko pamoja na ghara la kuhifadhia nafaka kwa wakulima lililojengwa kisasa pamoja na kuangalia eneo lililotengwa kwajili ya mladi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa ambapo eneo hilo linaukubwa wa heka 7.

Eneo jingine lililo kaguliwa ni eneo la chanzo cha maji ya  asili (chemchem ya asili )iliyopo Kata ya Chela ambapo katika chanzo hicho kunashughuli  mbalimbali za kimaendeleo zinazo endelea kama vile mladi wa umwagiliaji, uchotaji maji kwa shughuli za nyumbani na unyweshaji maji mifugo.

Eneo linguine lilikuwa ni eneo lililo pandwa miembe kwa wingi eneo hilo lipo kata ya busangi ambapo mwananchi ndio wapandaji wakuu wa miti hiyo  na mwaka jana matunda yaliyopatikana katika miti hiyo iliingizia halmashauri ya masala tsh 12,000,000 hivyo eneo hilo linafaa kwa uwekezaji wa kiwanda cha juisi.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.