• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

MIRADI YA UJENZI WA ZAHANATI

Start Date: 2017-05-26
End Date: 2017-08-31

Halmashauri ya  wilaya ya Msalala ya kamilisha ujenzi wazahanati 12 katika kata za BUlyanhulu, Ikinda, Lunguya, Mwanase, Jana, Ntobo, Chela na Mwakata. Ujenzi huo umefanywa kwamchango wa nguvu za wananchi kwa kuinua boma na Halmashauri kwakumalizia upauaji, rangi, vigae na kukamilisha nyumba za watumishi kwa familiambili.
 Kati yazahanati 12 zahanati 6 zimeshaanza kutoahuduma kwa wananchi. Halmashauri  inategemea kuzifungua zahanati zingine 6 hivi karibuni kwa kuwa tayari zimeshakamilika kwakuwekewa huduma zote muhimu kwa zahanati kuweza kufanya kazi. Sambamba na hilo Halmashauri imekamilisha ukarabati kwa zahanati na vituo vyake vyote vya Afya kupitia mradi wa  RBF.
Kwasasa inajipanga kuhakikisha kuwa kufikia mwezi wa saba mwaka huu zahanati navituo vyote vya Afya vinakuwa na dawa muhimu muda wote kwakuwa pesa za kununulia dawa hizo zipo, nani wiki hii mwanzo nidawa zimeletwa na mzabuni na tayari zimeshapelekwa vituoni, hayo yalisemwa jana nadaktari wa Wilaya Dr. Hamad  Nyembea alipokuwa akijibu swali la Mh. Gerald Mwanzia aliyetaka kujua ni lini watumiaji wabima zaafya kupitia Mfuko wa  CHF iliyo boreshwa watakuwa nauhakika wakupata dawa pindi wanapo pewa matibabu.
Zahanatiya kata ya Mwanase nimiongoni mwa zahanati 6 ambazo zimekamilika nazinatazamiwa kuanza huduma mwishoni mwamwezi wa sita ilikuwezesha wanamwanase kupata huduma za Afya katika mazingira yao. Juhudihizizimefanywanawah. Madiwani wakishirikia na wataalamu wa Halmashauri kuhakikisha wananchi wa Halmashauri ya Msalala wanakuwa na Afya njema muda wote ilikuweza kuendelea kulitumikia taifa kwaujumla kwani tunaamini Afya njema ndio mtaji wamaendeleo ya wanan


   

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Tangazo la Ufadhili wa masomo toka kwa Mbunge wa jimbo la msalala October 19, 2022
  • Pakua hapa maelekezo ya namna kujikinga na ugonjwa wa Ebola October 12, 2022
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • Nafasi za Kazi za Udereva February 12, 2020
  • Tazama yote

Habari mpya

  • Serikali Yapania Kuondosha Utegemezi

    December 19, 2022
  • Baraza lapongeza ripoti ya ufungaji hesabu zake

    September 28, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.