Friday 26th, February 2021
@Bugarama
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala anawatangazia wananchi wote kuwa tarehe 01/07/2018 kutakuwa na Uzinduzi wa Gulio na Mnada katika stendi ya mabasi iliyoko Bugarama. Kutakuwa na nyama choma, vinywaji vya aina mbalimbali, mazao, matunda na bidhaa tofauti tofauti. Wasanii wa musiki wa asili akiwemo mwana moto wa Mwanza na wengine wengi watatoa burudani katika sherehe hiyo. Usiombe kukosa.
Imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Msalala.
Igomelo area
Sanduku la Barua: P.O.BOX 16 KAHAMA
Simu ya mezani: +255 271 0 182
Namba za simu:
Baruapepe: ded@msalaladc.go.tz
Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.