• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Ufugaji1

Idara ya Mifugo na Uvuvi

Idara ya Mifugo na Uvuvi ni miongoni mwa Idara 13 ndani ya Halmashauri Idara hii imeundwa na sekta 2 ndogo ambazo ni:- Sekta ya Mifugo na Sekta ya Uvuvi

Mafanikio
Kutoa tiba na Chanjo za Magonjwa mbalimbali

Katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kama vile homa ya mapafu na chambavu  idara imefanikiwa kushirikisha wadau wa sekta ya mifugo katika kutoa huduma za chanjo kwa mifugo ambapo jumla ya ng’ombe 23,898 walichanjwa dhidi ya ugonjwa wa Homa ya Mapafu na ng’ombe 38,870 walichwanjwa dhidi ya ugonjwa wa Chambavu. Hii imeiwezesha Halmashauri kupunguziwa majukumu ya utoaji huduma na hivyo kuelekeza nguvu kwenye miradi mingine ya jamii kama vile elimu, Afya na Maji. Idara kupitia watalaamu wake waliopo katika Ngazi za Kata na Vijiji wameendelea kutoa huduma ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha mbwa pamoja na tiba dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mifugo

Uboreshaji wa miundombinu ya Machinjio.

Idara imefanikiwa kuboresha miundo mbinu ya machinjio ya Kata ya Isaka kwa kuifanyia ukarabati ili iweze kukidhi vigezo na kutoa huduma bora kwa wananchi.

Kielelezo 41.Fundi wakiendelea na ukarabati wa machinjio ya Isaka

Kutoa elimu ya ufugaji bora wa samaki na utambauzi wa mifugo kwa kuweka alama.

Katika kuhakikisha elimu ya ufugaji bora wa samaki inawafikia wafugaji ili kuboresha lishe na kipato katika jamii Idara imefanikiwa kuwafikishia elimu ya ufugaji bora wa samaki wafugaji 160 katika Kata 9 za Isaka, Bulige, Kashishi, Busangi, Chela, Ntobo, Segese, Bugarama na Bulyanhulu. Kwa kupitia elimu hii, hamasa imeongezeka na wananchi wengi wameonyesha nia ya kutaka kuanza kufuga samaki. Aidha, jumla ya wafugaji 1,049 kutoka katika Kata 18 wamepatiwa Elimu juu ya umuhimu na malengo ya serikali ya kufanya ufuatiliaji, utambuzi na usajili wa mifugo kwa  kupitia mikutano ya hadhara ya Wafugaji.

Kielelezo 42.Mafunzo ya ufugaji wa samaki katika Kata ya Bulige na Busangi

Idara ya Ujenzi

Idara ya ujenzi inashirikiana na idara 13 ambazo zipo ndani ya Halmashaui, idara hii imegawanyika katika sekta ndogo 3ambazo ni (i) Sekta ya Matengenezo ya Barabara, (ii) Sekta ya Majengo na (iii) Sekta ya Mitambo na Umeme.

Mafanikio

Katika kutekeleza majukumu yake, Idara iimeweza kufanikisha shughuli mbalimbali kupitia fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri na kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanaofanya shughuli za ujenzi wa majengo na matengenezo ya barabara. Wadau hao ni MIVARF, ACCACIA -BGM pamoja na fedha kutoka Serikali Kuu na kufanikisha kutekeleza mambo yafuatayo ndani ya Halmashauri ya Msalala:-

  • Usimamizi wa mradi wa Ukarabati wa Barabara ya Mwamboku-Nyaligongo kwa ufadhili wa MIVARF
  • Ukamilishaji wa vyumba vya madarasa kwa shule za Msingi na Sekondari, ukamilishaji wa Zahanati, Nyumba za watumishi za idara ya kilimo na Afya kwa kutumia fedha za LCDG, P4R na Mapato ya ndani.
  • Matengenezo ya barabara kwa kutumia Mfuko wa Barabara na Mapato ya Ndani.
  • Usimamizi wa Mradi wa Soko na Ghala Bulige unao fadhiliwa na MIVARAF
  •  Kufanya utambuzi wa barabara zote na matengenezo yake za Halmashauri kwa kuzingatia umuhimu wake ili kuziingiza kwenye mfumo wa DROMAS.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.