• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

imetumwa: September 13th, 2024


Timu ya mpira wa miguu ya wanaume ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala leo tarehe 13/09/2024 imepokelewa kwa shangwe kubwa na uongozi,

watumishi na wadau wa michezo ndani ya Halmashauri hiyo huku viongozi hao wakishindwa kujizuia kwa furaha na kuahidi kuishika mkono timu hiyo mwakani

kwani mwaka huu timu imeonyesha trela picha kamili itaonekana katika mashindano ya SHIMISEMITA 2025 hivyo nitoe tahadhari kwa timu za mpira wa miguu

za wanaume kujipanga sawa sawa kwani hatuna lelemama kwenye soka na tunautaka ushindi wa kwanza na inawezekana,hayo ni maneno yaliyosemwa na Makamu

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo MHE. Ibrahimu Six wakati wa mapokezi hayo.


Timu ya Kurugenzi Msalala imeshiriki mashindano ya SHIMISEMITA kwa mara ya kwanza mwaka huu 2024 tangu kuanzishwa kwa mashindano haya na kuibuka mshindi

wa 3 kati ya Timu 76 zilizoshiriki michuano hiyo na kupewa zawadi ya kombe la mshindi wa 3 wa mashindano hayo.Sambamba na kombe hilo mdau wa mchezo wa Kriketi

aishiye jijini mwanza alifurahishwa na namna Kurugenzi Msalala ilivyokuwa ikisakata kabumbu na akaamua kuipa seti ya vifaa vya mchezo huo ili uendelezwe ndani

ya Halmashauri ya Msalala.


Akimwakilisha Mwajiri wa Timu hiyo,Bi.Mary Nziku amemshukuru Daktari Samia Hasain Suluhu kwa kujari michezo kwani wananchi wengi wamehamasika kupitia kuona namna kiongozi mkuu wa nchi anavyoziunga mkono timu za Simba na Yanga vivyo hivyo nasi kupitia Mkurugenzi wetu Kipenzi cha wanaMsalala aliamua kugharamia ada ya ushiriki wa wanamichezo,posho za wachezaji na vifaa vya michezo ili timu hii ishiriki na kwa kweli wachezaji hamjatuangusha.Nitumie nafasi hii kumshukuru Mkurugenzi Mtendaji

wa Halmashauri ya Msalala Bi.Rose Robert Manumba kwa kuona umuhimu wa michezo kwani tangu kuanzishwa kwa Halmashauri haijawahi kutokea Timu zetu kushiriki mashindano

ya Kitaifa,nina imani mwaka ujao tutafanya vizuri zaidi.


Akiongea kwa niaba ya wachezaji wote,kocha wa Timu hiyo MWL.Kashindye ameishukuru Halmashauri kwa kuthamini michezo kwani mwaka huu tumeshiriki michezo ya pete wanawake,volleyball wanaume na wanawake,handball wanaume na wanawake na mpira wa miguu wa wanaume na ni mpira wa miguu pekee tulishinda. Wachezaji wapo wengi wazuri tatizo ni ufinyu wa bajeti kuweza kuwashirikisha wote sambamba na kuwa na kambi walau ya wiki moja kabla ya mashindano kwani wachezaji wengi wanaishi mazingira tofauti tofauti hivyo kuleta ugumu kufanya mazoezi pamoja.


Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.