• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

mipango, takwimu na ufuatiliaji

Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji


Idara hii ndiyo kituvu kikuu cha Halmashauri, ikiwa na majukumu makubwa ya kubuni, kusimamia na kufuatilia utekelzaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya Halmashauri. Aidha idara ya Mipango inawajibika pia katika upangaji wa Bajeti ya halmashauri kwa kila mwaka kwa kuzingatia vipaumbele vilivyowekwa sambamba na miongozo mbalimbali toka serikali kuu kupitia Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Wizara ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI.

Lengo lake ni kutoa huduma za kitaalamu katika nyanja za Mipango, Bajeti na vilevile kuratibu shughuli za Halmashauri katika kutoa uwezeshaji wa utaalamu kwa wakuu wa Idara nyingine. Seksheni hii inaongozwa na Afisa Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji wa Wilaya anayewajibika kwa Mkurugenzi Mtendaji.

Majukumu ya Idaya ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji

  • Kuratibu suala zima la maendeleo ya kiuchumi kwenye Mkoa ikijumuisha Sekta Binafsi, Mashirika ya serikali, Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na Asasi za kijamii.
  • Kushauri na kuratibu utekelezaji wa sera za sekta mbalimbali katika Mkoa
  • Kuratibu maandalizi, usimamizi na tathimini ya mipango (Mpango Mkakati, Mpango Kazi na Bajeti) kwa ajili ya Halamshari na Sekretarieti ya Mkoa
  • Kuratibu mikutano ya Kamati ya Ushauri ya Halmashauri.
  • Kuchambua, kuunganisha na Kusimamia maandalizi na utekelezaji wa Mpango wa Sekretarieti ya Mkoa na Bajeti
  • Kuratibu miradi inayofadhiliwa na wafadhili/wadau wa maendeleo na kushauri shughuli za utekelezaji wa Miradi.
  • Kumshauri Mkurugenzi kuhusu shughuli na majukumu ya mashirika, taasisi za kijamii na sekta binafsi
  • Kushauri na kuratibu shughuli za utafiti katika Halmashauri
  • Kuratibu mazoezi ya sensa ya watu na makazi
  • Kuratibu shughuli zitokanazo na majanga katika Wilaya
  • Kuzisaidia na kuzishauri Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kuandaa maandiko ya miradi
  • Kuratibu utekelezaji au ushughulikiaji wa masuala mtambuka ikijumuisha masuala ya Jinsia, Ulemavu, HIV/AIDS, na Kuwa mratibu au msimamizi wa masuala ya Jinsia katika Wilaya.
  • Kuratibu utekelezaji na kusimamia ushiriki wa sekta binafsi katika masuala mbalimbali ya maendeleo
  • Kusimamia na kutathimin utekelezaji na utendaji wa serikali za Vijiji na kata ndani ya Halmashauri.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Tangazo la Ufadhili wa masomo toka kwa Mbunge wa jimbo la msalala October 19, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI TAREHE 28.02.2023 February 23, 2023
  • Pakua hapa maelekezo ya namna kujikinga na ugonjwa wa Ebola October 12, 2022
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • Tazama yote

Habari mpya

  • "Nimelizishwa na kazi mnazozifanya Halmashauri"

    February 07, 2023
  • Serikali Yapania Kuondosha Utegemezi

    December 19, 2022
  • Baraza lapongeza ripoti ya ufungaji hesabu zake

    September 28, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.