• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Maadili ya Msingi

Idara ya Elimu Msingi

Halmashauri ya Msalala ina Jumla ya Shule za Msingi 94, shule 91 ni shule za Serikali na Shule 3 ni za Binafsi. Idadi ya Wanafunzi ni 65,831 kati yao ke 33,414 na me ni 32,417Idara ya Elimu Msingi ina vitengo 5 ambavyo ni kitengo cha Taaluma,Elimu ya Watu Wazima,Elimu Maalumu,Vifaa na Takwimu na Utamaduni na michezo.

Mafanikio 

  • Idara imefanilkiwa kuandikisha watoto wa darasa la 1 mwaka 2017 kwa 100% ambapo matarajio ilikuwa ni kuandikisha watoto 12,437 na walioandikishwa ni 12,488.
  • Aidha uandikishaji wa watoto wa darasa la awali umefanikiwa kwa 84% ambapo matarajio ilikuwa kuandikisha watoto 8,675 na walioandikishwa ni 7,294.
  • Pia Idara imefanikiwa kupunguza msongamano madarasani kwa kusambaza jumla ya madawati 669 katika shule za msingi 91 za serikali zilizokuwa na upungufu wa madawati. Kati ya Dawati hizo, Dawati 32 kutoka kampuni ya TIGO, 537 kutoka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na madawati 100 kutoka kampuni ya Mbao Mufindi. 
  • Idara imefanikiwa kupokea na kugawa vitabu 61,711 vya kiada na mihutasari 4,508 na mitaala 3,021 kwa shule za Msingi vilivyotolewa na Serikali kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa wakati. Hii imesaidia kuondoa upungufu wa vitabu vya mtaala mpya kwa madarasa yote kwa shule 91 za serikali.
  • Ufaulu wa wanafunzi wa darasa la vii mwaka 2015/16  katika matokeo ya mtihani wa taifa ulikuwa chini ya wastani 62% ambapo jitihada zilizofanyika katika usimamiaji,ufuatiliaji na ufundishaji kwa ujumla na ufaulu  umepanda kutoka 62.89%  mwaka 2015 hadi kufikia 66.27%  mwaka 2016/17.

Takwimu za mwaka 2013 hadi 2015 zinaonesha katika Halmashauri ya Msalala wanafunzi kuanzia darasa la 3 hadi la 7 walibainika kutojua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.Wanafunzi hao walikuwa ni 1,868 kati ya 28,249 ambao ni 6%. Hata hivyo yamepatikana mafanikio makubwa kupitia mafunzo ya mara kwa mara ya walimu kazini yanayoendeshwa na Mpango wa kuinua ubora wa Elimu (Equip –Tz) yaliyochangia katika kupunguza idadi ya wasiojua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu kwa darasa la 3 hadi darasa la 7 kupungua kutoka 6% mwaka 2014 hadi 2% mwaka 2017.

  • Kupitia mpango wa kuinua ubora wa Elimu Equip-Tz Maafisa Elimu Kata, Walimu wakuu,Walimu wakuu wasaidizi  wamejengewa uwezo wa uongozi kupitia semina mbalimbali.Hii imesaidia kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wa kila siku. Aidha katika mafunzo hayo kamati za shule zimejengewa uwezo wa kubuni miradi kwa ajili ya kuinua kipato cha shule ambapo kila shule iliandika andiko kwa kushindanishwa. Shule 46 za serikali kati ya 91zilishinda na zipo katika mpango wa kupewa fedha kwa ajili ya kuanzisha mradi wa kibiashara.
  • Ili kuboresha zaidi utendaji wa kazi Tumefanikiwa kuwatambua  walimu  wenye sifa ya  shahada na stashahada ambao  hatimaye wameteuliwa kuwa Maafisa Elimu Kata na Walimu wakuu, Uteuzi huo ulitokana na maelekezo ya barua ya KatibuTawala wa Mkoa wa Shinyanga yenye kumb Na:CAB.78/297/01B/21, ya tarehe  20/09/2016 ambaye alinukuu barua ya Katibu Mkuu Ofisi ya Raisi TAMISEMI Yenye kumb Na CDA.20/121/60  ya tarehe 16/09/2016 , ambayo ilitoa maelekezo ya kuwateua Maafisa Elimu Kata wenye sifa ya shahada na Walimu Wakuu wenye sifa ya Stashahada.Kutokana na maelekezo hayo Walimu 13 wenye sifa ya shahada waliteuliwa kuwa Maafisa Elimu Kata na walimu 12 wenye sifa ya stashahada wameteuliwa kuwa Walimu Wakuu.

Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)

Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) ni Kitengo, kiliachoanzishwa kwa mujibu wa sheria Na.25 ya Tume ya Utumishi wa Walimu ya Mwaka 2015. Ni Mamlaka ya Ajira na Nidhamu kwa walimu walio katika Utumishi wa umma wa shule za Sekondari na Msingi Tanzania bara. 

Kazi za Tume ya Utumishi wa Walimu ni kama ifuatavyo:-

Kuendeleza na kusimamia utumishi wa walimu

Kuajiri,kupandisha vyeo na kuchukua hatua za kinidhamu kwa walimu

Kuhakikisha uwiano sawa katika usambazaji wa walimu ndani ya Serikali za Mitaa na shule

Kushughulikia masuala ya rufaa za walimu zinazotokana na maamuzi ya mamlaka ya kinidhamu

Kutunza daftari na kumbukumbu za walimu

Kusimamia programu za mafunzo ya walimu kazini

Kufanya tafiti na tathmini kuhusu masuala yanayohusu utumishi wa walimu na kumshauri Mkurugenzi  inavyostahiki

Kutathmini hali ya walimu na kushauri wizara yenye dhamana ya masuala ya walimu juu ya mafunzo, idadi na uhitaji wa walimu Wilaya.

Kuandaa kanuni za maadili ya utendaji kazi ya mwalimu;

Kuendeleza mfumo wa mawasiliano na ofisi za Tume ngazi ya Wilaya juu ya mambo yote au jambo lolote kuhusiana na maendeleo ya utumishi wa walimu na kuhakikisha kwamba mwajiri na Ofisi ya Tume ngazi ya Wilaya wanaendeleza kazi zao kwa mujibu wa sheria hii;

Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)

Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) ni Kitengo, kiliachoanzishwa kwa mujibu wa sheria Na.25 ya Tume ya Utumishi wa Walimu ya Mwaka 2015. Ni Mamlaka ya Ajira na Nidhamu kwa walimu walio katika Utumishi wa umma wa shule za Sekondari na Msingi Tanzania bara. 

Kazi za Tume ya Utumishi wa Walimu ni kama ifuatavyo:-

Kuendeleza na kusimamia utumishi wa walimu

Kuajiri,kupandisha vyeo na kuchukua hatua za kinidhamu kwa walimu

Kuhakikisha uwiano sawa katika usambazaji wa walimu ndani ya Serikali za Mitaa na shule

Kushughulikia masuala ya rufaa za walimu zinazotokana na maamuzi ya mamlaka ya kinidhamu

Kutunza daftari na kumbukumbu za walimu

Kusimamia programu za mafunzo ya walimu kazini

Kufanya tafiti na tathmini kuhusu masuala yanayohusu utumishi wa walimu na kumshauri Mkurugenzi  inavyostahiki

Kutathmini hali ya walimu na kushauri wizara yenye dhamana ya masuala ya walimu juu ya mafunzo, idadi na uhitaji wa walimu Wilaya.

Kuandaa kanuni za maadili ya utendaji kazi ya mwalimu;

Kuendeleza mfumo wa mawasiliano na ofisi za Tume ngazi ya Wilaya juu ya mambo yote au jambo lolote kuhusiana na maendeleo ya utumishi wa walimu na kuhakikisha kwamba mwajiri na Ofisi ya Tume ngazi ya Wilaya wanaendeleza kazi zao kwa mujibu wa sheria hii;

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Tangazo la Ufadhili wa masomo toka kwa Mbunge wa jimbo la msalala October 19, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI TAREHE 28.02.2023 February 23, 2023
  • Pakua hapa maelekezo ya namna kujikinga na ugonjwa wa Ebola October 12, 2022
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • Tazama yote

Habari mpya

  • "Nimelizishwa na kazi mnazozifanya Halmashauri"

    February 07, 2023
  • Serikali Yapania Kuondosha Utegemezi

    December 19, 2022
  • Baraza lapongeza ripoti ya ufungaji hesabu zake

    September 28, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.