• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Ugavi

KITENGO CHA MANUNUZI NA UGAVI

Halmashauri ya (W) Msalala ina kitengo cha Manunuzi na ugavi kinachoundwa kwa mujibu wa sheria ya Manunuzi Na 7 ya mwaka 2011 kifungu na 37 na Kanuni namba 446 za mwaka 2013 ambapo sheria hiyo inaitaka taasisi ya serikali iwe na kitengo kinachosimamia usimamizi wa manunuzi (Procurement Management Unit –PMU).

Kwa Halmashauri ya (W) Msalala, Kitengo cha ugavi kina wataalamu watatu (3) ambao wanatekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria ya manunuzi na kinalo jukumu kubwa la kusimamia manunuzi yote toka idara na vitengo vilivyoko kwenye Halmashauri.

 MALENGO YA KITENGO CHA UGAVI NA MANUNUZI

• Kuhakikisha Sheria na Kanuni za Manunuzi zinazingatiwa.

• Kuhakikisha Huduma na Bidhaa zinapatikana kwa wakati ili Halmashauri iweze kutekeleza majukumu   

      mengine yanayohitjika na jamii.

• Kuhakisha bidhaa , kazi za Ujenzi na huduma zote zinalingana na thamani halisi ya Fedha

• Kuwepo na Uwazi katika Fursa mbalimbali za Zabuni.

• Kuwepo na Usawa katika kutoa Zabuni mbalimbali.

MAJUKUMU YA KITENGO CHA UGAVI NA MANUNUZI

Majukumu ya kitengo cha ugavi yameainishwa kwenye sheria ya manunuzi na 7 ya mwaka 2011 kipengele Na 38 kama yalivyo ainishwa hapa chini:-

• Kushughulikia manunuzi yote ya taasisi

• Kusaidia majukumu ya Bodi ya zabuni

• Kutekeleza maamuzi ya bodi ya zubuni

• Ni sekretarieti ya Bodi ya Zabuni

• Kuandaa na kupitia orodha ya mahitaji

• Kuandaa nyaraka za zabuni

• Kuandaa matangazo ya zabuni

• Kuandaa mikataba

• Kutoa mikataba iliyokwisha kusainiwa

• Kutunza kumbukumbu za manunuzi

• Kutunza orodha au rejesta ya kikataba yote iliyoingiwa

• Kuandaa taarifa ya mwezi ya bodi ya zabuni.

• Kuandaa mpango wa mahitaji

Aidha kitengo cha ugavi mbali na kufanya kazi na idara na vitengo vya Halmashauri, pia kinafanya kazi kwa karibu sana kwa kushirikiana na Bodi ya Zabuni ya Halmashauri ambayo majukumu yake yameainishwa na sheria ya manunuzi na 7 ya mwaka 2011 kifungu cha 33 (1) (a) –( e).

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Tangazo la Ufadhili wa masomo toka kwa Mbunge wa jimbo la msalala October 19, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI TAREHE 28.02.2023 February 23, 2023
  • Pakua hapa maelekezo ya namna kujikinga na ugonjwa wa Ebola October 12, 2022
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • Tazama yote

Habari mpya

  • "Nimelizishwa na kazi mnazozifanya Halmashauri"

    February 07, 2023
  • Serikali Yapania Kuondosha Utegemezi

    December 19, 2022
  • Baraza lapongeza ripoti ya ufungaji hesabu zake

    September 28, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.