• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

MAANDIKO YAIBEBA HALMASHAURI

imetumwa: January 30th, 2020

Katika awamu hii ya serikali ya awamu ya tano  Halmashauri nchini zilitakiwa kuwa wabunifu katika kuhakikisha miradi ya Halmashauri inatekelezwa kupitia bajeti ya serikali kuu, Halmashauri na wadau  mbalimbali ambapo pia Halmashauri zilitakiwa kujikita katika kuandika maandiko na kuyapeleka serikali kuu na kwa wadau mbalimbali.

Kwa kipindi cha robo ya pili Halmashauri ya Msalala ilifanikiwa kuandika na kupeleka maandiko sehemu mbalimbali ambapo pia Halmashauri ilifanikiwa kupata fedha nyingi toka Serikali kuu kupitia maandiko hayo, mifano ya fedha hizo ni fedha za uwezeshaji upimaji wa viwanja vya ardhi zilizotolewa na wizara ya ardhi na makazi, fedha za mradi wa maji toka ziwa viktoria wa kakola Ilogi, mradi wa ujenzi wa shule na ukarabati wake. Hii ni baadhi tu ya mifano ambayo imekamilishwa kupitia fedha zilizotolewa na Serikali kuu.

Ipo miradi iliyokamilishwa kupitia maandiko kwa wadau mbalimbali ikiwemo ujenzi wa maghala 2 ya kuhifadhia mazao yaliyojengwa na CABUIPA katika kata za Bugarama na Shilela. Ujenzi wa shule za sekondari za Mwakata, Mega na Kashishi ambapo wadau mbalimbali wakishirikiana na Halmashauri wameshiriki kukamilisha shughuli hizi.

Maneno hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala ndugu Simon Berege katika kikao cha baraza la Madiwani cha robo ya pili kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo uliopo katika kata ya Ntobo.

Imetolewa na kitengo cha mawasiliano serikalini,

Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Nafasi za Kazi za Udereva February 12, 2020
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUUZA MAGARI NA CHUMA CHAKAVU October 09, 2017
  • PICHA ZA GARI AINA YA ISUZU, TOYOTA LANDCRUISER NA NISSAN PATROL NA CHUMA CHAKAVU VITAKAVYOUZWA October 10, 2017
  • Tazama yote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YAONGEZA BAJETI YA MADAWA

    January 28, 2021
  • Halmashauri kutoa fedha kwa wananchi nje nje

    June 30, 2020
  • MAANDIKO YAIBEBA HALMASHAURI

    January 30, 2020
  • Kamati ya Lishe yajizatiti kuhakikisha jamii inakuwa na afya bora

    November 29, 2019
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Igomelo area

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 16 KAHAMA

    Simu ya mezani: +255 271 0 182

    Namba za simu:

    Baruapepe: ded@msalaladc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.