• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

ACACIA YAIKUMBUKA MSALALA

imetumwa: September 13th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Msalala imepokea kiasi cha fedha Tsh. Milion 121 kutoka Mgodi wa Bulyanhulu ikiwa ni ushuru wa huduma. Hafra hiyo fupi imefanyika leo Tarehe 13/09/2018 katika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kahama  na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Ndg. annamlingi Macha , Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Msalala Dk. Ntanwa Kilagwile pamoja na waandishi wa habari.

akikabidhi Mfano wa Hundi Meneja wa Migodi ya ACACIA Ndg. Benedict Busunzu alisema kuwa  lengo la kutowa fedha hizo ni kutaka kuinua hali ya kiuchumi kwa jamii na wana msalala kwa ujumla kwani fedha hizi zikielekezwa kwenye miradi ya jamii itakuwa tayali imesaidia upatikanaji wa huduma bora kwa jamii. Akipokea mfano wa Hundi hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kahama alisema kuwa fedha hizo zielekezwe kwenye miradi ya jamii kama ilivyo kawaida na si vinginevyo pia aliongeza kuwa fedha hizo zisitumike na kuishia kwenye malipo ya posho ya vikao na makongamano. Naye kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala Dk. Ntanwa Kilagwile alisema kuwa fedha hizo zitaelekezwa kwenye ukamilishaji wa majengo na gharama za uendeshaji pamoja na ukarabati wa magari ya Serikali ili kuongeza tija katika utenda kazi. 

Kusikiliza na kutazama nini alichokisema meneja wa ACACIA bofya link hii https://youtu.be/IzNxGusUSd8

Pia bofya hapa https://youtu.be/utBkpjKZHOU kusikiliza na kutazama ni kipi mkuu wa wilaya ya kahama alizungumza kuhusu ACACIA

           

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.