• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI LAOMBA ZAHANATI ZIKAMILISHWE

imetumwa: November 1st, 2018

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Msalala limeiomba Serikali kuweka kapaumbele kwenye kukamilisha miradi viporo vilivyopo ndani ya Halmashauri hiyo kwani kwa kufanya hivyo itakuwa inaunga mkono jitihada zilizoanzishwa na wananchi kwa kuwa tayari wananchi walishachangia nguvu zao katika ujenzi wa maboma kama sera ya miaka ya nyuma ilivyotaka, maelezo hayo yametolewa muda mfupi na Mhe. Enos Bugondo diwani wa kata ya Jana na kuungwa mkono na Wah. Madiwani wote kwa kusema imekuwa ni kero kwani Halmashauri ina idadi kubwa ya maboma.

Mkurugenzi mtendaji (W) ndugu Simon Berege akijibu hoja hiyo amesema Halmashauri imefanya maandiko na kuyapeleka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo mfano mzuri ni Mgodi wa Accacia ambapo katika robo iliyopita iliweza kutoa mifuko ya  simenti 1600 ambayo imegawanywa katika kata mbalimbali ikiwa na lengo la kukamilisha miradi hiyo viporo, amesema kwa sasa Serikali ya awamu ya tano inahimiza wananchi kujenga mradi mzima na Serikali inaleta  wataalamu ili mradi uanze kutumika pindi unapokamilika na iwapo Pesa inatolewa hutolewa zikidhamilia kukamilisha ili wananchi waone matunda ya mradi husika hivyo amewaomba waheshimiwa madiwani wawaelimishe wananchi juu ya mabadiliko haya.

Nae mkuu wa idara ya Maji (W) mhandisi marko chogero akijibu hoja kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji (W) amesema Serikali imeridhia kutoa Zaidi ya bilioni 3 katika mwaka wa fedha huu kukamilisha miradi ya maji ya Ngaya nduku  Busangi, upanuzi wa mradi wa maji katika kata za Bulyanhulu na Bugarama na marekebisho ya mradi wa maji katika kata ya Segese sambamba na ukarabati wa visima virefu na vifupi vilivyopo ndani ya Halmashauri.

Katika Baraza hilo waheshimiwa Madiwani wameiomba Halmashauri ihakikishe mapato yanakusanywa sambamba  na kubuni vyanzo vipya vya mapato kwani mapato yameshuka sana kutokana na mgodi kusimamisha shughuli zake za uzalishaji kutokana na agizo la Serikali hivyo Halmashauri ihakikishe gari iliyotengwa kwa shughuli za mapato litumike kwa shughuli hiyo pekee suala ambalo limekubaliwa na uongozi wa Halmashauri hiyo.

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Msalala

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.