• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Baraza la Madiwani lapongeza Bajeti

imetumwa: January 14th, 2022

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Msalala limeipongeza Timu ya Wataalamu inayoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Bw.Charles Fussi kwa kuandaa bajeti ya mwaka wa fedha 2022/23 vizuri huku vipaumbele vya Halmashauri ikiwa ni kuondoa utegemezi wa mapato ya ndani kutoka mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu na kuwezesha Halmashauri kujitegemea kwa mapato yake pekee.

Akiwasilisha Mpango wa bajeti hiyo Mweka Hazina bw. Masatu Mnyoro amesema katika mwaka wa fedha 2022/23 Halmashauri imejipanga kuondoa tozo sumbufu kwa wananchi sambamba na ununuzi wa maeneo katika kata za Bulyanhulu, Isaka na Segese kwa ajili ya uwekezaji.Pia katika mwaka huo Halmashauri imepanga kuboresha stendi zake kwa kuongeza vibanda ndani ya stendi hizo.

Bajeti iliyopitishwa na Baraza hilo ni Tsh.bilioni 4 na milioni mia moja na ishirini tu ( 4,120,000,000) kutoka chanzo cha mapato ya ndani huku vipaumbele vikiwa ni ujenzi wa uzio minadani, umaliziaji wa kituo cha maegesho ya malori Isaka na baadae Segese na uhamasishaji wa mazao mbadala ndani ya Halmashauri.

Akifunga kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Mibako Mabubu amesema Halmashauri ihakikishe mikakati iliyoamuliwa na Baraza inafanyiwa kazi kwa ushirikiano wa Waheshimiwa Madiwani, mbunge na wataalamu.

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya MSALALA

Matangazo

  • nafasi ya ajira April 20, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KUKUSANYA TAARIFA ZA ANUANI ZA MAKAZI March 02, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIO ITWA KUHUDHURIA MAFUNZO YA ZOEZI LA UKUSANYAJI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI KWA KATA YA BULYANHULU, CHELA, BUGARAMA, NGAYA, BULIGE NA BUSANGI April 04, 2022
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • Tazama yote

Habari mpya

  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • Mabilioni ya Rais yainufaisha Msalala

    January 29, 2022
  • somo latolewa ukusanyaji Mapato

    January 14, 2022
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ntobo Village

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 16 KAHAMA

    Simu ya mezani: +255 271 0 182

    Namba za simu:

    Baruapepe: ded@msalaladc.go.tz

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.