• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LAOMBA SERIKALI KUIPA WILAYA

imetumwa: August 26th, 2021

Barazala madiwani la Halmashauri ya Msalala imeiomba Serikali kuipatia Halmashaurihiyo hadhi ya Wilaya kwani inakidhi mahitaji ya kuwa wilaya. Kauli hii imesemwana baraza la Halmashauri hiyo katika kikao cha robo ya nne ya kufunga mwaka2020/2021, akifafanua mwenyekiti wa kikao hicho Mhe. Mibako Mabubu amesemaHalmashauri hiyo ina kata 18 na tarafa 2 ambapo tarafa ya Isagehe ina kata zaHalmashauri ya Msalala na Halmashauli ya Manispaa ya Kahama.

 

Wakichangiamaoni katika hoja hii wajumbe wamesema ipo haja ya kuongeza tarafa ndani yaHalmashauri hiyo sambamba na kuitenganisha tarafa ya Isagehe ili mipaka halisiya Halmashauri hizo zionekane waziwazi na kuwezesha Serikali kutoa huduma kwawananchi wake ipasavyo. Wajumbe hao wamependekeza zizaliwe tarafa mbili, mojaiwe tarafa ya Mwalugulu ikijumuisha kata za Isaka, Mwalugulu, Jana na Mwanase.Tarafa nyingine iwe Lunguya ikijumuisha kata za Bulyanhulu, Bugarama, Ikinda,Lunguya na Shilela, kata zinazobaki zisalie Tarafa ya Msalala.

 

Ajendanyingine iliyoongelewa katika kikao hicho ni kupitia taarifa mbalimbali zakamati za Halmashauri ambapo kuna miradi mingi ndani ya Halmashauri inaendeleaikiwemo ujenzi wa hospitali ya Wilaya iliyopo kata ya Ntobo, ujenzi wa makaomakuu ya Halmashauri iliyopo mpakani mwa kata za Ntobo na Mega, Upanuzi wazahanati ya Isaka kuwa kituo cha Afya, ujenzi wa majengo ya shule mpya zamsingi na sekendari. Katika kikao hicho wajumbe walipendekeza Halmashaurikatika mwaka wa fedha ujao kiwekwe kipaumbele kwenye miradi viporo hasa umaliziajiwa maboma ya zahanati katika maeneo yao ili yaanze kutoa huduma, suala ambaloMkurugenzi Mtendaji (W) ndg. Andrew Fusi amekubaliana nalo na kuahidikulitekeleza.

 

NaeMhe. Prisca Msoma (diwani kata ya Bugarama) alihitaji ufafanuzi juu ya fedhazinazotolewa na mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu kwa wananchi ambapo Afisa MifugoDR. ntanwa Kilagwile amesema awali pesa hiyo ilitolewa kwa mtu mmoja mmojaambapo ni kinyume na matakwa ya Serikali. Kiutaratibu Halmashauri ndiyo yenyedhamana ya kukopesha vikundi hivyo akatoa rai kwa wananchi hasa vijana,wanawake na watu wenye mahitaji maalum kuchangamkia fursa hii kwani fedhanyingi za kukopa zimeshatengwa tayari kuwakopesha wananchi wote watakaokidhivigezo vya ukopaji. 

 

Imetolewa naKitengo cha TEHAMA halmashauri ya MSALALA

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.