• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Baraza lapongeza Ukusanyaji Mapato

imetumwa: April 27th, 2023

baraza la madiwani la Halmashauri ya Msalala limejipongeza  kwa kuwezesha Halmashauri hiyo

kukusanya mapato vizuri kwani hadi mwisho wa robo ya tatu, Halmashauri hiyo imefikisha 92%

ya lengo la kukusanya Tshs. 5,068,800,000 kwa mwaka 2022-2023. Pongezi hizi zimetolewa katika

kikao cha kawaida cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.


Katika Kikao hicho pia imetolewa taarifa ya mapokezi ya vifaa vya kisasa katika Hospitali ya

Wilaya iliyopo katika kata ya Ntobo sambamba na kuitaka jamii ya wanaMsalala kutembelea Hospitali

hiyo kwani MHE.Rais mama Samia Suluhu anatambua shida wanazopata wananchi hivyo ameamua kujenga

maabara ya kisasa na kuweka vifaa muhimu sambamba na kutoa mafunzo baadae kwa wataalamu wa Afya ili

waweze kuvitumia vifaa hivyo, jamii inakaribishwa kupata huduma za Afya.


Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Maji Mhe. Joseph Manyara amelifahamisha Baraza la Madiwani

katika robo hii, Halmashauri imekamilisha ujenzi wa Zahanati 28 zipo tayari kuanza kutoa huduma kwa

wananchi na kumuomba Daktari wa Wilaya kuomba wataalamu toka wizarani sambamba na kupeleka wataalamu

walau wawili ili kuweza kutoa huduma ya Msingi kwa jamii kwani wananchi hulazimika kusafiri umbali

mrefu kufuata huduma, suala ambalo daktari wa Wilaya amekubaliana na hoja hiyo na kuahidi kulipatia

ufumbuzi kwa wakati.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Msalala

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.