• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Baraza laridhia Hesabu za mwisho

imetumwa: August 30th, 2023

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Msalala limepitisha Taarifa za Hesabu za kufungia mwaka 2022-2023

katika ukumbi wa Halmashauri hiyo uliopo katika kijiji cha ntobo Wilayani Kahama.Akifungua kikao hicho

mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Mibako Mabubu ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuleta fedha

ndani ya Halmashauri na kuomba ushirikiano uliopo kati ya wataalamu na Waheshimiwa madiwani udumishwe

kwani maendeleo yanayoonekena yanatokana na ushirikiano uliopo.


Akiwasilisha hesabu za Halmashauri kwa mwaka 2022-2023, Zayana Mutabazi kwa niaba ya Mweka Hazina(W)

amesema ufungaji wa hesabu umetumia mfumo wa Uhasibu Serikalini (MUSE)ambapo hadi kufikia mwishoni mwa

mwaka 2022-2023 Halmashauri ilikuwa na rasilimali zenye thamani ya Tsh. 40,972,700,781 ambapo kuna ongezeko

ambalo limetokana na kuongeza utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwemo ununuzi wa mitambo,ujenzi wa nyumba,

majengo na miundombinu mbalimbali zenye mwelekeo wa rasilimali za kudumu.


Pia Halmashauri ilikusanya Tsh.5,400,764,033.04 sawa na 101% ya kukusanya 5,368,800,000 kwa mwaka 2022-2023 kutoka

kwenye mapato ya ndani.Halmashauri ilikusanya Tsh.37,145,427,709.47 ukijumuisha fedha za mishahara,wahisani mbalimbali,

Serikali kuu na mapato ya ndani.Halmashauri imetumia Tsh.34,863,587,600.47 na  kuachia salio la Tsh.2,281,840,109.00 ambazo

ni fedha za TSA zinazosubiri maelekezo ya kuziondoa.


Wakichangia hoja,Mhe. benedicto Manwali diwani wa kata ya Lunguya,amesifia utendaji unaoonyeshwa na Mkurugenzi Mtendaji(W)

na timu yake ya wataalamu kwa kuiwezesha halmashauri kuvuka lengo la kukusanya mapato sambamba na kuwezesha kuondoa hoja

za ukaguzi ambazo hupelekea Halmashauri kupata hati chafu, hoja hii imeungwa mkono na baraza lote la Madiwani na kuomba

jitihada hizi ziwe endelevu ili wananchi wawezeshwe kufikia malengo na matarajio wanayoyahitaji.


Nae Katibu mwenezi wa CCM(W) ndg.Joakim Shimbila amepongeza madiwani hao na kusema wanasimamia vizuri ilani ya uchaguzi katika

maeneo yao kwani miradi inatekelezwa na kukamilika kwa wakati,hii inatokana na usimamizi wenu wa karibu endeleeni kuhakikisha

miradi inatekelezwa kwa viwango vya juu sambamba na fedha iliyotolewa. Mwakilishi wa Katibu Tawala(M) ndg.Baraka Bulayo ameishukuru

Halmashauri kwa kutulia na kutekeleza vizuri maagizo na kusimamia vizuri miradi na kuomba hali hii iendelee kwani maendeleo huja

kwa kuchapa kazi na kuelewana.


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji(W) ndg.Mary Nziku amepokea shukrani zilizotolewa na viongozi mbalimbali na ameahidi kuendeleza

uhusiano mzuri baina ya watumishi na waheshimiwa madiwani kwani ndio msingi mkuu wa mafanikio haya,halmashauri imepata hati safi tangu

kuanzishwa kwake kutokana na kushirikiana katika kuhakikisha miradi inasimamiwa vizuri sambamba na kuwa na nidhamu kwenye matumizi ya fedha

za serikali.Sisi kama wataalamu tutaendelea kuwashauri vizuri waheshimiwa madiwani nanyi mda wowote mtutume tupo tayari kuwatumikia wananchi

na kuhakikisha ilani ya chama tawala tunaitekeleza kwa vitendo,amesema kaimu mkurugenzi huyo.



Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.