• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

DIWANI ALIYESHINDA KWA KISHINDO AAPISHWA

imetumwa: August 30th, 2018

DIWANI ALIYESHINDA KWA KISHINDO AAPISHWA

Diwani mpya wa kata ya Bugarama Mhe. Josephat Izengo leo tarehe 30/08/2018 ameapishwa

rasmi kuwa Diwani hiyo, mhe. Izengo awali alikuwa ni diwani wa kata hiyo kupitia chama cha

demokrasia na maendeleo ( CHADEMA) na baadae kuamua kuachana na chama hicho na kujiunga

na chama Tawala ( CCM ) kwa kuwa alilidhishwa na kazi nzuri zinazofanywa na Serikali ya awamu ya

tano inayoongozwa na Mhe. Rais John Joseph Pombe Magufuli.

Diwani huyo ameapishwa katika kikao cha baraza la madiwani cha robo ya nne cha Halmashauri ya Msalala. Akimkabidhi cheti cha ushindi Msimamizi Mkuu wa uchaguzi huo Mkurugenzi wa Halmashauri

Bwana Simon Berege amemtaka Mhe. Izengo kuwatumikia wananchi wa kata ya Bugarama bila kujali

Itikadi zao za kisiasa kwani lengo la uongozi siku zote ni kuleta maendeleo kwa wananchi.

Katika kikao hicho mambo mbalimbali yalijadiliwa yakiwemo suala la upatikanaji wa maji ya uhakika

ambapo mhandisi wa maji (W) eng. Marco Chogero amesema serikali kupitia mradi wa PBR inatoa

motisha kwa miradi inayofanya kazi hivyo wananchi watunze vyanzo vya maji. Halmashauri imejipanga

kuhakikisha visima vinavyohitaji marekebisho vinakarabatiwa sambamba na kuweka pampu mpya sehemu zinazohitaji pampu hizo.

Imetolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Msalala

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.