• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

FANYENI KAZI KWA UZALENDO

imetumwa: November 19th, 2018

Kauli hii imetolewa leo na Mkuu wa Wilaya ya Kahama ndugu Anamlingi Macha katika semina ya lishe iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala iliyopo katika kata ya Ntobo ambapo mkuu wa Wilaya huyo alikuwa mgeni rasmi wa mafunzo hayo, amewasisitiza wafanyakazi kufanya kazi kwa uzalendo pasipo kusimamiwa ili kuleta maendeleo chanya katika jamii na Taifa kwa ujumla. Jamii ielimishwe ili izingatie kutoa lishe bora kwa jamii hasa watoto walio na umri ndani ya siku 1000.

Kwa upande wao wawezeshaji wa Lishe ngazi ya kitaifa na Mkoa, wamesema tayari Wakuu wa Mikoa na Wilaya wamesaini mkataba wa kuhakikisha kila Halmashauri nchini inatoa elimu ya matumizi ya Lishe bora kwa jamii sambamba na kutumia makundi matano ya lishe bora kwani vyakula vingi vinapatikana katika maeneo yao ya halisi hivyo kinachokosekana ni elimu ya namna ya kutumia makundi hayo ya vyakula hivyo ni jukumu la kamati ya Lishe ya Halmashauri kuhakikisha jamii inaelimishwa juu ya umuhimu wa kutumia lishe bora sambamba na kuwahimiza wananchi kuandaa bustani za mboga mboga.

Katika semina hii, kamati ya lishe ya Halmashauri imepitishwa katika vipengele muhimu vya kuandaa mpango wa bajeti ya kamati ya lishe ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2019/20 na kuahidi kupanga bajeti itakayotekelezeka kwa kuweka takwimu zenye kuendana na uhalisia wa wananchi wa Msalala sambamba na kutenga Tsh. 1000 kwa kila mtoto kwa idadi yao sambamba na kuomba wadau wa maendeleo kujitokeza kusaidia kueneza elimu hii adimu kwa wananchi.

Imetolewa na kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.