• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Furaha zatawala Mapokezi Mwenge wa Uhuru

imetumwa: August 1st, 2023

Mwenge wa Uhuru umepokelewa leo katika kiwanja cha Shule ya Msingi Wichamike kata ya Ntobo Halmashauri ya Msalala ukitokea Halmashauri ya Ushetu ndani ya wilaya ya Kahama.

Mwenge huo umepokelewa na kulakiwa na maelfu ya wananchi katika kiwanja hicho huku vikundi mbalimbali vikiendelea kutumbuiza na kufanya hamasa,awali Mkurugenzi Mtendaji(W)

Ndg.Khamis Jaaphar Katimba akipokea mwenge huo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji(W) Halmashauri ya Ushetu, amesema "Mwenge wa Uhuru utakimbizwa KM.70 na utazindua na kuwekea

mawe ya Msingi miradi 5 ndani ya Halmashauri, miradi hiyo ni ya maji na mazingira katika kijiji cha masabi, Afya na elimu katika kijiji cha Segese na kuona shughuli za vijana

wanaotegeneza masofa Kakola ambao wamenufaika na 10% ya mikopo ya mapato ya ndani na baadae mwenge utaelekea viwanja vya kakola A na B kwa ajili ya risala ya Utii na Mkesha na

siku itakayofuata utakabidhiwa Halmashauri ya Nyagwale Mkoani Geita".

Nae Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita amesema," mwaka 2022+23 Serikali ilitoa Tsh.2,047,466,386 kwa sekta ya Elimu ambapo madarasa 54,nyumba 5 za walimu,bweni 1 la wana

funzi wenye mahitaji maalum na matundu ya vyoo 220 na madawati 810 yametengenezwa kwa fedha hizo, Tsh. 750,000,000 zimetolewa katika idara ya afya kwa ajili ya ujenzi wa jengo

la mionzi,upasuaji, wodi ya wanaume na jengo la kufulia na kupanda miti 1500 kuzunguka hospitali ya wilaya ya Halmashauri hiyo.Halmashauri imekusanya Tsh. 5,167,635,017 sawa na

103% ya kukusanya Tsh.4,532,000,000 kwa mwaka huo.Katika sekta ya Ujenzi Halmashauri imetumia Tsh. 2,667,290,000 TARURA kufanya matengenezo ya barabara ndani ya Halmashauri.

Fursa zilizopo ni Umeme, Maji, Usafiri muda wote,nguvu kazi kwa wananchi, mashirika mbalimbali,ardhi yenye rutuba, machimbo ya dhahabu kwa wachimbaji wadogo wadogo na amehitimi

sha kwa kutoa pongezi kwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na DR.Samia H. Suluhu kwa kuunga mkono jitihada za wananchi kwa kutoa mabilioni ya fedha kukamilisha miradi katika

sekta mbalimbali.

upande wake kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa,Ndg.Abdalla Shaib Kaim amefurahishwa na mwamko wa wananchi wa jimbo la Msalala kwa kuwa kila sehemu walipopita (miradi waliyotembelea)

walikuta umati mkubwa wa wananchi wakiusubiria Mwenge wa Uhuru, kiongozi huo amesifu wananchi wa Halmashauri hii na kuwaomba kuendelea na moyo huo wa kizalendo. Sambamba na hilo

kiongozi huyo na jopo lake wameridhishwa na miradi yote waliyoipitia na kusema"miradi ni mizuri sana na ni ya kiwango cha juu" pongezi kwa Rais Dr.Samia Suluhu kwa kuthamini wananchi

kwa kutoa fedha kwa ajili ya sekta mbalimbali nchini zenye lengo la kuhakikisha maendeleo na ustawi wa jamii unakuwepo kwani mazingira ya kufikia maendeleo hayo tayari Serikali ya

awamu ya sita imeyatengeneza.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.