• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

"Hakika yaliyotekelezwa yana manufaa kwa jamii "

imetumwa: July 20th, 2023

Kauli hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Christina Solomoni Mndeme wakati wa ziara ya kupitia miradi itakayozinduliwa na

Kuwekewa mawe ya msingi kwenye mbio za Mwenge ambao utapokelewa katika viwanja vya Shule ya Msingi Wichamike katika kijiji cha Ntobo

"A" kata ya Ntobo. Miradi hiyo ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji ambapo Jumla ya Tshs. 632,820,000 itatumika hadi kukamilika kwa awamu ya kwanza.


 Miradi itakayopitiwa na Mwenge wa uhuru ni upanuzi wa maji ambapo vituo vinne vimejengwa katika kijii cha masabi, Shamba la miti na

Upandaji miti katika zahanati ya Masabi ambapo miti 500 itapandwa na mwenge huo, Ujenzi na uwekaji wa jiwe la Msingi katika Kituo cha

Afya segese ambapo hadi sasa jengo la OPD na Maabara vimekamika, Ujenzi wa bwalo la wanafunzi wenye mahitaji maalum katika shule ya Msingi

Segese na mradi wa kikundi cha watengeneza sofa ambacho kilipatiwa Mtaji wa Tshs. 30,000,000 kama mkopo wa Halmashauri.


Mhe. Mndeme amesema yeye na timu yake ya Usalama Mkoa na Wilaya wameridhishwa na Miradi inayotekelezwa ndani ya Halmashauri

kwani Miradi hiyo imejengwa kwa viwango vya juu na kwa ufanisi, hii itawezesha miradi hiyo kudumu kwa muda mrefu. Pongezi kwenu Wananchi

wa Msalala hakika inaitendea haki ilani ya chama cha Mapinduzi inayotaka kuweka mazingira mazuri kwa uwekezaji na kuhakikisha jamii ina afya njema.


Mkuu wa Mkoa huyo ameipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na MHE.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama yetu mpendwa

MHE.DR. Samia Suluhu kwa kuunga mkono miradi mbalimbali ndani ya Halmashauri kwani miradi ya maji, ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wenye

mahitaji maalum,Elimu na afya MHE.Rais ametoa fedha nyingi kuhakikisha watoto wetu wanapata elimu.


Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.