• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI KUANDAA MPANGO WA KUKABILIANA NA MAJANGA

imetumwa: October 12th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Msalala imeanza maandalizi ya kuandaa mpango mkakati wa namna bora ya kukabiliana na majanga pindi yanapotokea kwani majanga siku zote hutokea bila taarifa hivyo Halmashauri ikishirikiana na wadau wake OXFARM ambaye anajishughulisha na kuongeza thamani ya mazao sambamba na kuwatafutia masoko wakulima kwa lengo la kukuza kipato cha wananchi wanaoishi kanda ya ziwa na CABUIPA ambalo linajihusisha na kujengea uwezo kamati za maafa za Halmashauri na baadae kamati hii ikishirikiana na shirika la CABUIPA kuieneza elimu hiyo kwa jamii.

Akiitambulisha shirika la CABUIPA kwa kamati ya maafa ya Halmashauri mratibu wa mradi wa KAMA amesema CABUIPA imejipanga kuhakikisha Halmashauri zote nchini zinakuwa na mpango mkakati mbadala wa kukabiliana na majanga, na kwa sasa shirika linafanya majaribio ya mradi huo katika mkoa wa Shinyanga katika Halmashauri za Msalala na Kishapu lengo ni kuzifikia Halmashauri zote nchini. Ndugu David Rwegoshora ametaja baadhi ya malengo ya mradi huo kuwa ni kujengea uwezo jamii ili ziweze kujikinga pindi maafa yanapotokea, Jamii ifahamu vyanzo, athari na njia za kujikinga nazo na mwisho jamii ikishirikiana na wadau waweze kukabiliana na maafa pindi yanapotokea.

Nae Kaimu mkurugenzi Mtendaji DR. Ntanwa Kilagwile amewashukuru wadau wa OXFARM na CABUIPA kwa kuchagua eneo la Halmashauri ya Msalala kuanza kufanya kazi nao kwani upatikanaji wa mpango mkakati huo utasaidia Halmashauri kuwa tayari muda wote kwa kuwa tayari mipango itakuwepo sambamba na jamii kuelewa namna ya kufanya pindi maafa yanapotokea na kuahidi kutoa ushirikiano ili mpango mkakati huo wa maafa ukamilike mapema.

Kwa upande wao washiriki wa semina hiyo walitoa shukurani zao kwa wadau kwa kuona umuhimu wa kufanya kazi pamoja kwa lengo la kuondoa vifo visivyo vya lazima kwa kutoa elimu juu ya kujikinga na majanga kwani kuelewa vyanzo, athari na njia za kujikinga kutaiwezesha jamii kujikinga na majanga pindi yanapotokea na kuitaka jamii kuhudhuria kwa wingi pindi semina hizi zitakapoanza kutolewa kwani Halmashauri imejipanga vizuri kuweza kushirikiana na wadau wake kuhakikisha elimu hii muhimu inawafikia wananchi wengi waishio vijijini.

Imetolewa na kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.