• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA MSALALA YAPONGEZWA KWA KUFANYA VIZURI KWENYE KILIMO

imetumwa: January 26th, 2018

HALMASHAURI YA MSALALA YAPONGEZWA KWA KUFANYA VIZURI KWENYE KILIMO

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ndg Zainabu Terack iliyofanyika ndani ya Halmashauri ya Msalala iliyo kuwa na lengo la kutembelea na kukagua namna shughuli za kilimo zinavyoendelea ndani ya Halmashauri hiyo  na kujioneo jinsi wakulima walivyo hamasika kwa kiasi kikubwa  kulima mazao ya chakula na biashara kwa wingi  . Pia Mkuu wa Mkoa alijionea Mashamba Mbalimbali ya Alizeti, Karanga, Mahindi na Pamba.

Mkuu wa Mkoa alimpongeza Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Simon Berege  pamoja na timu nzima ya Maafisa Ugani wa Halmashauri ya Msalala kwa kazi nzuri waliyo fanya ya uhamasishaji wa kilimo cha kisasa kwa wakulima na kuwahimiza kutoa elimu ya kutosha kwa Wakulima ambao bado hawajahamasika ili nao waige mfano mzuri toka kwa wenzao waliolima kilimo cha kisasa.

Sambamba na hilo pia Mkuu wa mkoa alipata nafasi ya kuzungumza  na baadhi ya Wakulima ambapo walitoa changamoto zao kwa Mkuu wa Mkoa huyo, ikiwa ni  pamoja na kutokuwa na kipato cha kutosha kununua pembejeo za kilimo na hivyo kushindwa kuhudumia mashamba yao vizuri. Mkuu wa Mkoa aliwashauri wakulima hao  kuwa watumie mbolea za kupandia na kukuzia ili waweze kuvuna mazao ya kutosha kwani Serikali ilishatoa ruzuku kwenye mbolea na hivyo mbolea zimeshuka bei ukilinganisha na kipindi cha nyuma , pia watumie  dawa za kuulia wadudu waharibifu  (viuwadudu) aina ya DUDU BA 450 ec iliyo na uwezo mzuri wa kupambana na wadudu wahalibifu. Akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa Afisa ugani wa Halmashauri ya Msalala Ndg.Solomon Zedekia alisema kuwa Wananchi wa Halmashauri ya Msalala wamelima kiasi cha heka elfu therathini kwa mwaka huu wa kilimo na hivyo kufikia malengo ya Halmashauri.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.