• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA MSALALA YAPONGEZWA KWA UTOAJI WA HUDUMA BORA ZA AFYA

imetumwa: December 12th, 2017

HALMASHAURI YA MSALALA YAPONGEZWA KWA UTOAJI WA HUDUMA BORA ZA AFYA

Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu amefanya ziara ya siku moja katika halmashauri ya Msalala ambayo ni moja kati ya Halmashauri iliyofanya vizuri katika utekelezaji wa mpango wa malipo kwa ufanisi (RBF) kwa kutembelea katika baadhi ya vituo vya kutolea huduma na kujionea utekelezaji huo ukifanyika ikiwa ni pamoja na kuzungumza na wananchi wa Msalala.Pia  amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Msalala Ndg. Simon Berege kwa usimamizi mzuri kwa watendaji wake wa idara ya Afya na wakiongozwa na mganga Mkuu wa Halmashauri ya Msalala Dk. Tom Mtoi na kupelekea kuwa na ufanisi katika utoji wa huduma za afya na kufanya kuwa bora. Akizungumza mbele ya wananchi na waandishi wa habari Waziri Umi Mwalimu alisema kuwa bajeti ya ununuzi wa dawa umeongezeka kwa kiasi kikubwa kwenye uongozi wa awamu ya tano ukilinganisha na uongozi wa awamu ya nne ambapo awamu ya nne bajeti kwaajili ya ununuzi wa dawa ilikuwa ni kiasi cha Tsh. Milioni miamoja na nane(108,000,000) ukilinganisha na bajeti ya ununuzi wa dawa kwa sasa ni zaidi ya Tsh. Milioni mianne (400,000,000). Pia alijionea uwepo wa dawa za kutosha ambao unapelekea kupungu kwa kelo za upungufu wa dawa uliokuwa ukiwapata wagonjwa. Pamoja na hayo Waziri Umi alimpongeza Mkurugenzi Kwa kusimamia vizuri matumizi ya fedha za RBF na kusema kuwa fedha hizo zimetumika vizuri na kwa wakati na hivyo kusisitizwa kuendelea kuwa wabunifu ili wananchi waendelee kupata huduma bora za afyatamisemi

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.