• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri yafanya maajabu kwa wananchi nchini

imetumwa: October 30th, 2021

Halmashauri ya Msalala imefanya maajabu makuu kwa kutoa fedha za mikopo kwa zaidi ya 10% kwa mwaka wa fedha 2021 kwa wanawake, vijana, watu wenye ulemavu na wazee. Katika mwaka 2020/2021 Halmashauri hiyo ilitoa milioni 256 ambazo milioni 206 ni michango iliyotolewa na halmashauri kupitia mapato ya ndani na milioni 50 ni marejesho ya vikundi vilivyokopeshwa. Kauli hiyo imetamkwa na Mkurugenzi Mtendaji (W) bwana Edward C. Fussi katika kikao cha baraza la madiwani cha robo ya kwanza ya mwaka 2021/22, ambapo amesema Halmashauri imeshika nafasi ya pili kitaifa kwa utoaji wa mikopo kwa vikundi vilivyokidhi vigenzo vilivyowekwa.

Wakichangia hoja katika mada hii Waheshimiwamadiwani wameipongeza Halmashauri kwa kufanya vizuri katika eneo hili na kuomba wataalamu wa idara ya maendeleo ya Jamii kuielimisha zaidi jamii kwani pamekuwepo na malalamiko ya baadhi ya vikundi kutopatiwa taarifa licha ya kuomba mikopo hiyo, suala ambalo Mkuu wa idara hiyo Bi Neema katengeshya ameahidi kuufanyia kazi ushauri huo. Pia mkuu wa idara hiyo ameongeza pia wananchi wengi wamehamasika na hivyo vikundi vingi vinaomba lakini fedha inayotengwa licha ya kuwa zaidi ya 10% lakini bado haitoshi hivyo kuomba wadau kujitokeza ili kuunga mkono jitihada za serikali.

Waheshimiwa Madiwani wamezungumzia suala la kupewa taarifa za mradi wowote utakaofanyika ndani ya eneo la kila diwani kwani kumekuwepo na tatizo la waheshimiwa kutopewa taarifa hasa kwa miradi inayotekelezwa na wadau wa maendeleo, suala ambalo Mkurugenzi Mtendaji (W) ameahidi kuhakikisha taarifa zinatolewa kwa Mh. Diwani, Mtendaji wa kata na kijiji, mwenyekiti na wananchi.

imetolewa na kitengo cha TEHAMA Halmashauri ya Msalala

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.