• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Jitihada za MHE. Rais zaungwa mkono kwa vitendo

imetumwa: July 14th, 2023

Jitihada za MHE. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR. Samia H. Suluhu

zimeungwa mkono na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala MHE. Mibako Mabubu

ambae ametoa gunia 67 za mahindi na kuhamasisha wadau wa Chela nao kuchangia

gunia 7 za Mahindi hivyo kufanya jumla ya magunia ya mahindi 74 kutolewa.

Tafrija hii imeongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama MHE. Mboni Mhita aliyeongozana

na Mkurugenzi Mtendaji(W) ndugu Khamis J. Katimba, MHE.Joseph S. Luyombya Diwani

wa Kata ya Bulyanhulu, Kaimu Afisa Elimu Awali na Msingi(W),

Wataalamu mbalimbali wa ngazi ya kata na wadau wa maendeleo kata ya Chela.

Mkuu wa Wilaya ameitaka jamii kufuata mfano ulioonyeshwa na kiongozi wetu.


Magunia hayo yametolewa katika shule za Msingi na Sekondari za kata ya Chela

ambapo Mgeni rasmi MHE. Mboni Mhita amekabidhi mahindi hayo kwa wanafunzi na

 walimu wa shule hizo. Awali akisoma taarifa ya makabidhiano hayo Mtendaji wa

Kata ya Chela Bi.Evagsira amesema mgawanyo wa mahindi umezingatia wingi wa

wanafunzi katika shule husika.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri, amesema yeye akiwa kama mzazi

ameshawishika kuunga jitihada za Rais wetu DR. Mama samia suluhu Hassain

kwani MHE. Rais amefanya mengi mazuri ikiwemo kujenga majengo ya kisasa

mashule na hospitalini sambamba na kutoa ajira katika sekta za Afya na

Elimu, pia kitu kingine kilichomvutia ni mwitikio wa wanachela kwani wengi

walijitokeza kuchangia huduma ya watoto kupata chakula shuleni muda wa masomo.

Nae Mbunge wa Jimbo la Msalala MHE. Iddi Kassimu Iddi ameunga mkono Jitihada za

mwenyekiti huyo kwa kutoa mifuko ya sukari 12 ambazo zimekabidhiwa katika tafrija

hii.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.