• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Jitihada za MHE.Rais zaungwa mkono kwa Vitendo

imetumwa: May 24th, 2023

Jitihada za kuwaletea maendeleo Watanzania zinazofanywa na MHE. Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

kwa kujenga hospitali na kuhakikisha zina vifaa muhimu kwaajili ya afya za wananchi, shule kwa ajili ya

kuelimisha watoto na kuwalinda na athari mbalimbali za kimaadili ndani ya jamii zimeungwa mkono na taasisi

mbalimbali za kimataifa zikiwemo UN-WOMEN, UNFPA na KOICA.

Mashirika haya yamewezesha Ujenzi wa kituo kimoja cha huduma shufa (one stop center) katika kituo cha Afya

Bugarama inayopatikana katika kata ya Bugarama Halmashauri ya Msalala Wilaya ya Kahama pia yamewezesha ujenzi

wa ofisi ya dawati la Jinsia na watoto( Police Gender and Children Desk) katika kituo cha polisi Bugarama.

Majengo haya yamezinduliwa na MHE. Mkuu wa Wilaya ya Kahama MHE. Mboni muhita ambaye amemuwakilisha Mkuu wa Mkoa

wa Shinyanga katika hafra hii. Hafra hii imehudhuliwa na viongozi mbalimbali kutoka UN-WOMEN, UNFPA, KOICA, Jeshi

la Polisi nchini hasa wanaoshughulikia masuala ya dawati la Jinsia na watoto, OR-TAMISEMI, Kamati za ulinzi na

Usalama Mkoa wa Shinyanga na Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Kahama, WAH. Madiwani wakiongozwa na MHE. Manyara

Wataalamu toka ngazi mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Msalala.

Akiwakaribisha wageni mbalimbali Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala ndg. Charles Fussi amesema mashirika haya

yamefanya mengi ndani ya Msalala ikiwemo mafunzo kwa maafisa polisi 20, maafisa kilimo 125 wa Halmashauri,

vikundi 60 vya wakulima vimepatiwa mafunzo ya ujasiriamali, kuongeza uelewa kwa jamii kupambana na unyanyasaji

na kuwezesha vikundi 10 kufunga umeme jua ili kuwa na uhakika wa kulima mwaka mzima. Sambamba na haya mkoa wa

wa Shinyanga umepatiwa gari 2 kupitia mradi huu ambapo gari moja ipo Halmashauri ya Msalala na nyingine Mkoani.

                                                    Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,

                                                                          Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.