• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Kahama yasimama kwa muda

imetumwa: October 31st, 2023

Shughuli za kiuchumi wilaya ya Kahama hususani ndani ya Halmashauri ya Msalala 31.10.2023 zilisimama kwa muda kufuatia ufunguzi wa jengo la Utawala la Halmashauri

hiyo lililopo katika kijiji cha Buganzo pembezoni mwa barabara kuu itokayo Kahama kwenda Kakola,Jengo hilo limejengwa kwa thamani ya zaidi Tsh.bilioni 3 fedha kutoka

Serikali kuu,pongezi kwa Serikali ya awamu ya sita kwa kuwezesha kukamilika kwa wing ya kwanza ya jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Msalala.Sherehe hiyo umehudhuriwa

na kamati ya ulinzi na usalama(W) ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe.Mboni mhita ambaye pia ni mgeni rasmi kwenye hafra hiyo,Mbunge wa jimbo la Msalala Mhe.

Alhaj Idd Kassim Idd,viongozi wa chama na Serikali,Waheshimiwa Madiwani,wataalamu wa halmashauri na taasisi mbalimbali na wananchi wa kata za Ntobo,Mega na Segese.


Akifungua hafra hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala Mhe.Mibako Mabubu amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu kwa kuleta mabilioni ya fedha ndani

ya Halmashauri kutekeleza miradi mbalimbali hakika ameitendea haki Halmashauri haijawi kutokea miradi mingi kutekelezwa ndani ya muda mfupi tangu Serikali yake iingie

madarakani,tunashukuru sana sisi wananchi wa Msalala na tunaomba aendelee kutuunga mkono katika shughuli zetu za kila siku nasi tunaahidi kuwa nae bega kwa bega.


Akitoa hotuba kwa wananchi wa Halmashauri ya Msalala Mhe.Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama (W) Mhe.Mboni mhita amempongeza Mkurugenzi Mtendaji(W) wa Halmashauri

ya Msalala NDG.Khamis Katimba kwa kuwa na maono ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Halmashauri hiyo kwani anaunga mkono kwa vitendo jitihada zinazofanywa na Rais wetu

Dr.Samia Suluhu kwa kuhakikisha fedha zinazoletwa na Serikali zinafanya kazi kusudiwa na kukamilika kwa wakati na kuwaomba watumishi na wananchi kumpa ushirikiano.


Mkuu wa Wilaya huyo amempongeza pia Mbunge wa jimbo la Msalala Mhe.Alhaji Idd Kassim Idd kwa kuthamini wananchi wake na kuwasemea mazuri kwa Mhe.Rais Dr.Samia Suluhu na

ndiyo maana mnaona miradi mingi ikitekelezwa,yote hii ni kazi ya Mhe.Mbunge wetu.Hongera sana Mhe. Idd Kassim Idd endelea kutuwakilisha vema bungeni na sisi wananchi wa

Halmashauri ya Msalala hatutokuangusha kwani tunaimani kubwa nawe kwa mazuri mengi uliyoyafanya ndani ya muda mfupi tangu uingie madarakani lakini kubwa zaidi ni kufanya

ziara za mara kwa mara vijijini na kutatua changamoto za wananchi.Utumishi wako si bure Mungu atakuinua.


Nae Mkurugenzi Mtendaji(W) NDG.Khamis Katimba amemshukuru Rais Dr.Samia Suluhu kwa kumwamini na kumpangia kazi katika kituo chenye viongozi mahiri,wanaojituma na wenye

mori ya kufanya kazi muda wote kwani tangu ameripoti ndani ya mkoa wa Shinyanga ushirikiano anaopata ni mkubwa na ndiyo maana unaona miradi ikitekelezwa kwa viwango na

ndani ya muda mfupi, yote hii ni kutokana na ushirikiano mzuri uliopo baina ya viongozi wa Chama,Serikali,Taasisi za umma,mashirika ya dini,Waheshimiwa Madiwani na wadau

mbalimbali ndani ya halmashauri.Mimi kiongozi mkuu wa Halmashauri ya Msalala nitawatumikia wananchi wa Msalala muda wote na nipo tayari kwenda sehemu yeyote kutatua kero

zao.


kwa Upande wake Mbunge wa jimbo la Msalala Mhe.Alhaji Idd Kassim Idd amemshukuru sana mama wa taifa Dr.Samia Suluhu kwa upendo wake kwa wananchi wa jimbo la Msalala kwani

haijawahi kushuhudiwa miradi mikubwa na mingi kiasi hiki ikitekelezwa ndani ya Halmashauri ya Msalala kama inavyotekelezwa katika Serikali ya awamu ya sita,Mhe.Rais Samia

ametoa mabilioni ya fedha kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii kama ujenzi wa shule 2 mpya katika kata ya Bulyanhulu,VETA,mradi wa maji wa nduku busangi toka ziwa viktoria

,kuanza kwa matengenezo ya barabara ya lami kutoka Kakola kwenda Kahama katikati ya mwezi wa 11,hospitali ya wilaya na kukamilika kwa zahanati 23 haya yote ni baadhi ya mafanikio

 ya Serikali ya awamu ya sita,tunaomba serikali utuletee wataalamu wa idara ya afya.

miundombinu imeshakamilika

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.