• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Kamati ya Lishe yajizatiti kuhakikisha jamii inakuwa na afya bora

imetumwa: November 29th, 2019

Kamati ya Lishe Halmashauri ya Msalala imejipanga kuhakikisha watoto wote wenye umri chini ya miaka 5 na kina mama wajawazito ndani ya Halmashauri hiyo wanapata mlo uliokamilika muda wote, maneno hayo yamesemwa na Mratibu wa Lishe wa Halmashauri Bi. Mwamini Mziray katika kikao cha kufunga mwaka 2018/19 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.

Mratibu huyo ameendelea kusema katika mwaka 2018/19 jumla ya wanawake 10,270 walipewa madini ya chuma na asidi ya Foliki, 13518 ya kinamama wenye watoto walio na umri chini ya miezi 6 wamepatiwa elimu ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee kwa muda wa miezi 6 na akinamama 17526 wenye watoto walio na umri kuanzia miezi 6 hadi miaka 2 wamepatiwa elimu ya ulishaji wa vyakula vya nyongeza kwa watoto.

Nao wajumbe wa kamati hiyo wamesema katika kipindi cha 2018/19 Halmashauri imefanya mengi yakiwemo kutoa elimu kwa jamii juu ya wanaume kuona umuhimu wa kuhudhuria kliniki na wenza wao pindi wanapokuwa wajawazito ambapo jamii imehamasika kwa kuongezeka kwa idadi ya kinababa kuhudhuria kliniki sambamba na kutoa hamasa kwa jamii kulima mazao ya chakula ili kuwezesha familia zao kujikimu kimaisha. Katika kufanikisha hili Taasisi isiyo ya Serikali ya AGPHAI imewezesha wanafunzi 240 kutoka kata za Lunguya, Ntobo, Segese na Isaka kupata chakula cha mchana. Halmashauri imewezesha jamii kujikinga na magonjwa kwa mifugo yao pamoja na kushauri jamii kuanzisha mabwawa kwa lengo la kufunga samaki ambapo tayari kuna mabwawa 3 ambayo yanafunga samaki.

Nae Kaimu Mkurugenzi Mtendaji (W) ndugu Zedekiah Solomon ametaka kila idara kuhakikisha mipango iliyojiwekea kuhusu Lishe yanatekelezwa kwani lishe ndio msingi wa kuwa na afya bora tuwe mfano kwa jamii ili jamii nayo ione umuhimu wa kuanzisha kilimo cha mazao yanayopatikana katika mazingira yao na amewapongeza idara ya Elimu kwa kuanzisha bustani za mbogamboga kwa lengo la kuwezesha wanafunzi kupata elimu ya namna ya kuanzisha bustani hizo majumbani mwao.

 Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Halmashaur

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.