• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Kamati za kudumu za Baraza la Madiwani Halmashauri ya Msalala zatembelea miradi ya Halmashauri

imetumwa: August 15th, 2017

TAARIFA YA YA UKAGUZI WA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA.

Wajumbe baraza la madiwani na wataalamu mbalimbali toka  Halmashauri ya Wilaya ya Msalala ilipitia miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri hiyo.

Zoezi la ukaguzi wa miradi ya Maendeleo lilipitia jumla ya miradi 16 ya maendeleo ambayo ilighalimu jumla ya Fedha Tsh. 5,314 ,305,017  Ikiwa fedha kutoka mapato ya ndani ni Tsh. 187,500,000 na Tsh. 5,126,805,017 ni kutoka Serikali kuu na kwa wadau wengine wa maendeleo.

Wajumbe walilizika na ukamilifu wa miradi  pamoja na mwendelezo wa ukamilishaji wa miradi ambayo nayo inaendelea kukamilishwa.

Wakaguzi walitoa maoni na mapendekezo ya kuanza kutumika kwa baadhi ya miradi ambayo imekwisha kamilika, ili kuendelea kurahisisha  upatikanaji wa huduma za kijamii. Mfano wa baadhi ya miradi hiyo ni pamoja na vyoo , barabara na machinjio ili kuendelea kurahisisha upatikanaji wa huduma za kijamii.

Wajumbe walishauri wananchi washiriki kulinda na kuitunza miradi hiyo ili idumu kwa muda mrefu ili kuendelea kurahisisha utoaji na upatikanaji wa huduma za kijamii. Pia walishauri kupanuliwa kwa barabara ya Busangi – Ntobo na kurekebishwa kwa madaraja ambayo yameonekana yameinuka sana .

Pia wakandarasi wanaojenga Makao makuu ya Halimashauri ya Wilaya ya Msalala walitakiwa kutoa ajira kwa vibarua wazawa wa maeneo husika ili kuongeza upatikanaji wa ajira .

Miradi ambayo haijakamilika, kamati walishauri wakandarasi wakamilishe miradi hiyo kwa wakati  na pia Serikali ijitahidi kuwalipa wakandarasi kwa wakati.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.