• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

“KUSANYENI MAPATO”

imetumwa: December 28th, 2018


Hiyo ni kauli iliyotolewa leo na kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango iliyokuwa inaongozwa na mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala MHE. Mibako Mabubu wakati wa kikao hicho cha mwisho wa mwezi wa Disemba, ambapo wajumbe wa kikao hicho kwa kauli moja wamemtaka Mkurugenzi Mtendaji (W) na wataalamu kuongeza jitihada katika kukusanya mapato ya Halmashauri kwani ndiyo yanayoiwezesha Halmashauri kuendesha shughuli zake.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji (W) ndugu Simon Berege amepokea ushauri huo na kuwaomba waheshimiwa madiwani kumpa ushirikiano pindi atakapokuwa kwenye utekelezaji wa agizo hilo kwani aliwawezesha baadhi ya wajumbe wa kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango kufanya ziara kwenye maeneo mengine ya nje ya Halmashauri ya Msalala ili kuweza kujenga uelewa wa pamoja na hivyo Waheshimiwa Madiwani wawe mabalozi kwenye maeneo yao ya utendaji.

Halmashauri ya Msalala mapato yake makubwa ilikuwa inategemea Mgodi wa madini ya dhahabu wa Bulyanhulu uliyopo kata ya Bulyanhulu, ambapo mgodi huo ulichangia 75% ya mapato ya Halmashauri na 25% iliyobaki ilipatikana kupitia makampuni madogo madogo yanayofanya kazi na mgodi huo, minada ya ng’ombe, magulio, leseni ya biashara, nyumba za kulala wageni, wachimbaji wadogo wadogo, ushuru wa mazao hasa dengu, mpunga na matunda na ushuru wa stendi ya Bugarama. Hivyo mgodi uliposimamisha shughuli zake Halmashauri hii iliathirika sana kimapato.

Juhudi za kuondokana na hali hii zimefanyika ambapo timu ya wataalamu wa Halmashauri hii ikishirikiana na waheshimiwa Madiwani na MHE. Mbunge Ezekiel Maige wameandaa maandiko ya miradi mbalimbali mfano mzuri ni upanuzi wa eneo la kulaza magari na Stendi Isaka, ujenzi wa uzio kwenye minada, hii ni baadhi ya mipango ambayo ikikamilika tunategemea Halmashauri itaboresha mapato yake sambamba na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji (W) kusimamia ipasavyo ukusanyaji huu wa mapato. Rai kwa wananchi ni kuhakikisha tunalipa kodi mbalimbali na tozo zote kwa hiari kwani kufanya hivyo tutamunga mkono jitihada za  Rais wetu mpendwa MHE. Rais JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI za kuwaletea wananchi wetu maendeleo.

IMETOLEWA NA KITENGO CHA HABARI NA MAWASILIANO

MSALALA

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.