• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Lishe bora kwa Afya bora inawezekana

imetumwa: July 24th, 2024

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji(W) NDG.Khamis Katimba wakati wa kikao cha lishe cha ngazi ya kata kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Msalala uliopo

katika Kata ya Ntobo.Mkurugenzi huyo amewapongeza Watendaji wa Kata kwa usimamizi mzuri wa lishe katika kata zao kwani matokeo ya green kadi yanaonyesha hali ya lishe katika

Halmashauri yetu ipo vizuri,hii imetokana na kujengea uwezo wananchi kupitia elimu.Hongereni kwa usimamizi mzuri wa lishe katika Kata zenu,niombe shule zinazotoa chakula kwa

madarasa ya mitihani pekee zihamasishe jamii ili ichangie chakula cha kutosheleza wanafunzi wa shule nzima.


Awali akimkaribisha mgeni rasmi wa kikao hicho,Daktari wa Halmashauri ya Msalala DR.Sisti Mosha amesema jamii kwa kiasi kikubwa imehamasika na tatizo la utapiamlo kwa watoto

limepungua katika robo hii ya nne,haya ni mafanikio makubwa kwa halmashauri yetu mimi pamoja na watumishi wengine wa idara za afya,elimu,kilimo,mipango na wadau mbalimbali

tutaendelea kuelimisha jamii na kufanya suala la lishe kuwa kipaumbele cha kwanza katika shughuli zetu za kila siku kwani lishe bora huwezesha mtu kuwa na upeo mkubwa wa kufanya

maamuzi katika masuala mbalimbali ya maisha.


Akiwasilisha taarifa ya lishe ndani ya Halmashauri ya Msalala, Mratibu wa lishe Bwana Peter Nganzo amesema katika robo ya nne inayoanzia Aprili hadi Juni kumekuwa na ongezeko

au mwamko mkubwa hasa kwa kinamama wajawazito kuhudhuria kliniki na kupima afya zao.Kwa kipindi cha miezi mitatu taarifa zinaonyesha watoto 3626 walizaliwa huku watoto waliozaliwa

wakiwa na uzito pungufu ya kilo 2.5 wakiwa 69 sawa na 1.9% ya watoto wote waliozaliwa.Sambamba na hilo shule 113 za msingi na shule za sekondari 24 zinatoa chakula kwa wanafunzi

wake.Tuendeleze mapambano ya udumavu kwa pamoja kwa kula milo yenye makundi sita ya chakula ambayo ni protin,wanga,mbogamboga,mafuta,matunda na sukari.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.