• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Mabilioni ya Rais yainufaisha Msalala

imetumwa: January 29th, 2022


Fedha zinazotolewa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hasain zimeendelea kuinufaisha Halmashauri ya Msalala kupitia kukamilisha vyumba vya madarasa 90 na Kituo cha Afya cha Tarafa ya Isagehe ambacho kinajengwa  ndani ya Halmashauri hiyo katika Kata ya Mwalugulu. Maelezo hayo yametolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama ndugu  Festo Kiswaga wakati wa ziara ya kamati ya Siasa Mkoa.

Ziara hiyo imeongozwa na mwenyekiti wa CCM Mhe. Mlolwa akiambatana na wajumbe wa kamati hiyo, Kamati ya Siasa Wilaya ikiongozwa na Mhe. Thomas Myonga Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Mwenyekiti wa Halmashauri  ya Msalala Mhe. Mibako Mabubu, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Msalala na wataalamu wa Halmashauri hiyo.

Lengo la Ziara hiyo ni kukagua Miradi ya Maendeleo ya Halmashauri ikiwemo Ujenzi wa vyumba vya Madarasa 4 vikiwa na viti na meza zake  vilivyogharimu Tsh. 80,000,000/= fedha zilizotolewa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mradi huu sHalmashauri kwa kutumia vizuri fedha zilizotolewa na kuwaomba wananchi kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza wanafanya hivyo.

Mradi wa ujenzi wa  Kituo cha Afya Isagehe una majengo 3 ambayo ni OPD, Maabara na kichomea taka ambao utagharimu Tsh. 250,000,000 fedha za tozo za miamala za simu ambazo zimetolewa na Mhe. Mama Samia Suluhu Hasain sambamba na ujenzi wa uzio wa mnada wa Bulige ambao Halmashauri imetenga Tsh. 150,000,000/= kutoka mapato ya ndani ambapo kamati imeshauri spidi ya ujenzi kuongezwa ili miradi ianze kutumika kwani ni ahadi za Serikali kutoa huduma za uhakika za Afya na ukusanyaji mapato.

Kamati hiyo ilitembelea pia kikundi cha Upendo kinachoongozwa na kina mama ambao wanajishughulisha na utunzaji wa mpunga kwenye ghala la mazao, ambapo wameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuona umuhimu wa kuwaendeleza kinamama kwani kwa sasa wanahifadhi mazao hadi bei inapopanda ndipo huuza kwa bei nzuri na hivyo kuwezesha kufanya marejesho ya mkopo waliochukua. Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM (M) ameitaka Halmashauri kukiongeza mkopo kikudi hicho ili kuweze kununua mashine ya kisasa ya kukoboa mpunga na kuugrade, suala ambalo Mkurugenzi Mtendaji (W) ameridhia na kusema atawakopesha Tsh. 60,000,000 kwa kuwa mkopo wa mwanzo Tsh. 38,000,000 tayari wameshamaliza deni lao.

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Msalala.  

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Tangazo la Ufadhili wa masomo toka kwa Mbunge wa jimbo la msalala October 19, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI TAREHE 28.02.2023 February 23, 2023
  • Pakua hapa maelekezo ya namna kujikinga na ugonjwa wa Ebola October 12, 2022
  • Sikukuu za Nane Nane July 24, 2019
  • Tazama yote

Habari mpya

  • "Nimelizishwa na kazi mnazozifanya Halmashauri"

    February 07, 2023
  • Serikali Yapania Kuondosha Utegemezi

    December 19, 2022
  • Baraza lapongeza ripoti ya ufungaji hesabu zake

    September 28, 2022
  • UN Women yaendelea kumwaga miradi Msalala

    January 25, 2022
  • Tazama yote

Video

AFSA MANUNUZI WA WILAYA PAMOJA NA LOCAL FUNDI WAMEOMBA ZABUNI PAMOJA NA UJENZI WA ZAHANATI YA NGAYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.