• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

"Malizeni miradi kwa wakati"

imetumwa: April 30th, 2023

Kauli hii imetolewa leo na wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango iliyoongozwa na Mwenyekiti

wa Halmashauri ya Msalala Mhe.Mibako mabubu wakati wa ziara ya kamati hiyo ilipotembelea miradi ya

maendeleo inayotekelezwa ndani ya Halmashauri.

Ziara hiyo imepitia miradi sita katika kata mbalimbali zikiwemo ukamilishaji wa jengo la zahanati ya

 mwashigini na ujenzi wa vyumba 2 vya maabara katika shule ya sekondari Mwakata kata ya Mwakata.

Ukamilishaji wa bweni la wavulana katika shule ya Sekondari isaka na ujenzi wa bwalo la chakula katika

kata ya Isaka. ujenzi wa jengo la upasuaji, wodi ya wanaume na watoto, jengo la mionzi na jengo la

kufulia katika Hospitali ya Halmashauri iliyopo kata ya Ntobo. Miradi mingine iliyotembelewa ni ujenzi

wa Kituo cha Afya segese ambacho kinajengwa kwa fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri. pamoja na

ujenzi wa zahanati ya Nyamishiga ambayo inajengwa na wananchi wa kijiji hicho wakishirikiana na wachimba

madini wa eneo hilo.

Miradi yote niliyoitaja inagharimu Tsh. 1,241,000,000 kutoka Serikali kuu na Fedha za mapato ya Ndani ya

Halmashauri. Miradi yote ipo katika hatua nzuri za umaliziaji na kamati imesisitiza miradi hiyo ikamilike

ndani ya mwaka wa fedha huu kwani fedha ipo hivyo mafundi waongeze kasi ya ujenzi.

Sambamba na ziara hiyo, wajumbe hao pia wamefahamishwa uwepo wa vifaa vya kisasa vya kutolea huduma katika

Hospitali ya Halmashauri na kuombwa kuwa mabalozi kwa wananchi kwani Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania Mama Samia Suluhu ametoa vifaa hivyo kwa Hospitali za wilaya nchini ili kusogeza huduma karibu

na wananchi.

                                          Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

                                                         Halmashauri ya Msalala

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.