• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

MAPOKEZI YA MBIO ZA MWENGE HALMASHAURI YA MSALALA 2017

imetumwa: July 18th, 2017

MAPOKEZI YA MBIO ZA MWENGE HALMASHAURI YA MSALALA 2017-07-17

Tarehe 13-07-2017 mwenge wa uhuru ulipokelewa katika halmashauri ya Wilaya ya  Msalala  katika kata ya Bulige muda wa saa 3:00 asubuhi na viongozi wa Halmashauri  ya msalala, Wakiongozwa na mkuu wa wilaya ya Kahama Ndg.Fadhiri Nkurlu, na Mkurugenzi wa Halmashari ya Msalala Ndg. Simon Berege

Miradi iliyo zinduliwa katika  katika halmashauri ya msalala

Jumla ya miradi 10  iliyo kamilika na kuzinduliwa na mbio za mwenge  katika halimashauri ya Msalala ilikuwa na jumla ya thamani ya shilingi 1,528,09300429.00

Baada ya mwenge kupokelewa katika kata ya bulige ulianza   kuzindua baadhi ya miradi , ikiwemo uzinduzi wa soko na Ghala la kuhifadhi nafaka na kuwekewa jiwe la msingi na Ndg.Amour Hamad Amour.

Baada ya kuzindua mradi katika kata ya Bulige  mwenge ulielekea katika kata ya Ngaya na kupokelewa kwa shangwe kubwa na wananchi wa  kata ya Ngaya , katika kata ya Ngaya baadhi ya miradi ilizinduliwa ikiwemo uzinduzi wa mradi wa maji  na barabara ya kutoka kata ya Ngaya kwenda kata ya Busangi.

Baada ya mwenge wa uhuru kutoka kata ya Ngaya  ulielekea katika kata ya Chela na mara baada ya kufika kulitolewa ujumbe wa mwenge uliohusu kulinda raslimali za taifa letu hasa madini ili yaweze kulinufaisha taifa na wananchi wake piakujilinda na magonjwa ya ukimwi na Maleria.

Baada ya kutolewa ujumbe wa mwenge, mwenge  wa uhuru ulielekea shule ya sekondari Baloha na kupokelewa na wananchi pamoja na wanafunzi kwa shangwe na nderemo . Kiongozi wa mbio za mwenge alisomewa risala na wanachama wa klabu ya wapinga rushwa katika  shule hiyo, na mara baada ya kusomwa kwa ujumbe huo kiongozi wa mbio za mwenge Ndg.Amour Hamad Amour aliwakabidhi wanafunzi hao cheti cha TAKUKURU.

Mara baada ya  mwenge wa uhuru  kutoka shule ya Sekondari Baloha ulielekea  katika zahanati ya Mhandu ambapo ulizindua mradi wa zahanati  na baadae  kuelekea makao makuu ya halmashauli ya Wilaya ya  msalala katika kata ya Ntobo ambapo msafara ulijionea shughuli za vijana hususani eneo itakapojengwa ofisi za vijana, ambapo vijana walikopeshwa mashine za kufyatulia matofali.

Baada ya  tukio hilo mwenge wa uhuru ulielekea katika kata ya  Segese ambako ndipo mwenge wa uhuru ulikesha , katika kata hii  pia mwenge wa uhuru ulipokelewa na wananchi wa maeneo yote ya kata ya Segese kwa shangwe kubwa na vigeregere , nderemo na vifijo .Mara tu mwenge wa uhuru ulipofika segese kiongozi wa mbio za mwenge alizindua vyumba vitatu vya madarasa na kuweka jiwe la msingi ,na kuzindua mradi wa kiwanda cha mafuta ya alizeti katika kata hiyo.

Mwenge wa uhuru ulipo wasili katika viwanja vya shule ya msingi Segese kiongozi wa mbio za mwenge aliangalia maendeleo ya uwajibikaji wa shughuli za kujenga taifa kwa vijana wa kata ya Segese.Kauli mbiu ya mwenge wa uhuru 2017-07-17. Mwenge wa uhuru ulibeba kauli mbiu isemayo SHIRIKI KUKUZA VIWANDA KWA MAENDEREO YA NCHI YETU .Pia  Tanzania bila ukimwi na madawa ya kulevya inawezekana kwa kuzingatia  hayo zoezi la upimaji wa VVU liliendelea ambapo zaidi ya watu 436 walijitokeza kupima na  kati ya hao wote ni watu 16 pekee walio patikana na maambukizo. Na mapambano dhidi ya madawa ya kulevya magunia zaidi ya magunia 10 ya bangi yalikamatwa na kuteketezwa kwa moto , mwenge  oyee .

 

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.