• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

‘‘MBOGAMBOGA NI CHANZO CHA UTAJIRI”

imetumwa: September 9th, 2021

Siku ya wakulima (Farmer Field Day) imefanyika leo tarehe 09, sepemba 2021 katika Kata ya Segese, Halmashauri ya Msalala chini ya

usimamizi wa shirika la  TAHA,na Halmashauri ya Msalala pamoja na  na kuhudhuliwa na wafadhiri ambao ni  Serikali ya watu wa Korea

(KOICA,)  UN&WOMEN, UNFPA ,  Mkuu wa Wilaya ya Kahama Ndg. Festo Kiswaga , Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala Ndg

Charles Edward Fussi, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Ushetu Pamoja na wataarau toka halmashauri ya Msalala, Ushetu na Kahama

Manispaa.

Katika Hafla hiyo Mgeni rasimi  Mkuu wa Wilaya ya Kahama  Ndg. Festo kiswaga na wageni waalikwa walipata fulsa ya kutembelea na

kukagua shughuli mbalimbali  za kilimo zinazofanywa na wanakikundi cha LUMOLUMO chini ya usimamizi wa Shirika la TAHA kwa

kushirikiana na Halmashauri ya Msalala chini ya ufadhiri wa Serikali ya watu wa Korea (KOICA,)  UN&WOMEN pamoja na UNFPA.

Katika maadhimisho hayo  Ndg Festo Kiswaga alilidhishwa na shughuli zinazofanywa na kikundi hicho na kuwaomba wadau wa

UN&WOMEN pamoja na shirika la KOICAkuona sasa kunahaja ya kuongoze maeneo ya mradi ili kuwasaidia wanchi kuongeza kipato na

kupunguza utegemezi kwa akinamama na vijana kwa kwa kufanya hivyo kutawajengea uwezo wa kujitegemea. Pia aliwaomba watu wa

mgodi wa BARICK Bulyanhulu kuwasaidia wakulima hao kwa kununu mazao yao kwani yanaubora wa kiwango cha hali ya juu.

Sambaba na hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala Ndg. Charles Edward Fussi aliwaahidi wanakikundi hao kuwa

Halmashauri ya Msalala itashirikiana nao bega kwa bega kuhakikisha wanapata mafanikio kwa kuwapatia Mikopo. Pia aliwataka wanachi

wakawe mabalozi wazuri kwa kuiga ba kueneza shughuli/ utaalamu walio jifunza kupitia shamba darasa linalomilikiwa na kikundi cha

LUMOLUMO kwa lengo lakuongeza tija zaidi.

Mashamba darasa haya pia yanafanyika katika maeneo mengine ndani ya Halmashauri ya Msalala ambayo ni  Shilela na  Lunguya.



Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.