• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA APENDEKEZA MIRADI

imetumwa: April 26th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Tellack amependekeza miradi itakayozinduliwa na kuonwa na Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2018/19, Mkuu wa mkoa huyo ametoa mapendekezo yake wakati wa ziara ya kukagua miradi iliyopendekezwa na Halmashauri. Mkuu wa Mkoa amefuatana na Katibu tawala (M) ndugu Albert Msovela, Mkuu wa Wilaya Ya Kahama ndugu Anamringi Macha, Katibu Tawala (W) ndugu Timothy Ndanya, vyombo vya ulinzi na usalama na wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri hiyo.

Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa amependekeza miradi ya maji kakola Bugarama, ujenzi wa wodi za wagonjwa katika kituo cha afya Bugarama, uwezeshaji vijana, utunzaji mazingira, uzinduzi wa vyumba sita vya madarasa ya shule ya msingi segese, kuona daraja linalounganisha kata za Ngaya na Kinaga, na shughuli za wajasiriamali.

Awali akimkaribisha Mkuu wa Mkoa huyo, Mkuu wa Wilaya ya Kahama ndugu Anamringi Macha amesema wilaya inajitahidi kuhakikisha miradi yote yenye mapungufu inakamilika na kuanza kutoa huduma kwani ndilo lengo la Serikali ya awamu ya tano kuhakikisha huduma bora zinatolewa kwa ufanisi na wakati na kuahidi kufuatilia kwa ukaribu akishirikiana na timu ya wataalamu wa Halmashauri ya Msalala.

Mwenge wa Uhuru utapokelewa kimkoa katika Halmashauri ya Msalala iliyopo wilayani Kahama tarehe 08/05/2019 na kukimbizwa katika kata za Bulyanhulu, Bugarama, Segese na Ngaya na mkesha kufanyika katika kata ya Bulige. Tarehe 09/05/2019 Mwenge wa uhuru utakabidhiwa Halmashauri ya Ushetu na baadae utakimbizwa katika Halmashauri ya Mji wa Kahama siku ya tarehe 10/05/2019

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano.

                Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.