• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya aipongeza halmashauri

imetumwa: August 24th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe.Mboni Mhita amepongeza jitihada zinazofanywa na viongozi wa Halmashauri ya Msalala kwa kuthamini

na kuunga mkono Jitihada za Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr. Samia Suluhu,kwani Halmashauri hiyo imepokea

fedha nyingi kutoka kwa Mhe. Rais mama Samia Suluhu kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika kata na vijiji mbalimbali.

"nani kama Rais mama Samia Suluhu" na halmashauri ili kuendana na kasi ya Mhe.Rais leo imejiongeza kwa kuwajengea uwezo waheshimiwa

Madiwani wote na wakuu wa Idara na Vitengo wote ili waweze kusimamia na kutekeleza vema ilani ya Chama cha Mapinduzi kwani CCM ndio

wenye thamana ya kuwaletea maendeleo Watanzania, hongera sana Mwenyekiti wa Halmashauri na Mkurugenzi Mtendaji(W) kwa kuonyesha njia

kuelekea maendeleo.


Awali akimkaribisha Mkuu wa Wilaya Mhe.Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Mibako Mabubu amesema," tunaridhika na maendeleo yanayofanywa na

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Rais Samia Suluhu kwani tangu Halmashauri ianzishwe mwaka 2013 haijapata kutokea fedha

za maendeleo kuletwa kwa wingi kama inavyofanya Serikali ya awamu ya sita,tunaomba tufikishie salamu zetu kwa Mhe.Rais Samia Suluhu.

Sisi kama viongozi wa Halmashauri ya Msalala tunazisimamia vema fedha hizo na ndio maana leo hii tumeona vizuri tukumbushane majukumu

yetu kwa kuwaomba wataalamu toka ofisi ya Katibu Tawala kuja kutupatia Mafunzo ya mpango wa bajeti,lengo likiwa ni tuweze kutekeleza

vizuri ilani ya Serikali iliyotuweka Madarakani.


Nae Katibu wa Chama cha Mapinduzi amewataka viongozi hao kupokea kero za wananchi kila wakati na kuzipatia ufumbuzi ili kuweza kutekeleza

matarajio ya wananchi kama tulivyowaahidi sasa ni lazima tutekeleze,Serikali ya awamu ya sita ni sikivu hivyo leteni kero za wananchi na

kwa pamoja tushirikiane kuzitafutia utatuzi lengo likiwa ni kuleta maendeleo kwa jamii zetu.


Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na kupambana na rushwa, amesema taasisi yake imejipanga kufanya ukaguzi wa miradi yote inayotekelezwa

ndani ya Halmashauri sambamba na kutoa elimu ya huduma ya Takukuru rafiki kwa wananchi ili kuongeza uwajibikaji wa watumishi kwa wananchi wanaowa

ngoza na hivyo kuomba ushirikiano pindi watumishi wa taasisi hiyo wanapotembelea vitongoji,kijiji au kata zao.

Nae Katibu Tawala (W) ya Kahama ndg.Mohamed Mbega amewaomba viongozi hao kufuata Sheria,taratibu na Kanuni katika utekelezaji wa majukumu ya kila

siku ili kuondoa matatizo yasiyokuwa ya lazima na kuahidi kutoa ushirikiano muda wowote atakapohitajika.Wakufunzi wa Mafunzo hayo wameipongeza

Halmashauri kwa kuona umuhimu wa kujengeana uwezo kwani elimu ndio msingi wa maendeleo, miongoni mwa mada zinazofundishwa katika mafunzo haya ni

maandalizi ya mpango wa bajeti,maadili ya uongozi na utumishi wa umma, Dhana ya uzalendo kwa Serikali, Mahusiano ya Halmashauri na Serikali kuu

na miundo na majukumu ya kamati za kudumu za Halmashauri.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.