• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA KAHAMA ATAKA ELIMU IZINGATIWE

imetumwa: August 31st, 2018

MKUU WA WILAYA KAHAMA ATAKA ELIMU IZINGATIWE

Mkuu wa Wilaya ya Kahama ndugu. Anamringi Macha ameitaka jamii ya wakazi wa Halmashauri

ya Msalala kuwekeza kwenye elimu kwa watoto wao kwani Serikali ya awamu ya tano ni Serikali

inayohitaji kila mwanajamii mwenye mtoto aliyefikisha umri wa kwenda shule apelekwe kwa kuwa

elimu inatolewa bure, kinachotakiwa ni mzazi kuweza kumwezesha mtoto kuhudhuria masomo

kwa kumnunulia sare za shule, viatu, madaftari na kalamu. Amesisitiza kuwa wazazi watimize wajibu

wao wa kutimiza mahitaji ya muhimu kwa watoto wao nae yupo tayari kushirikiana na viongozi kuhaki

kisha kila mzazi anatimiza wajibu huo. Maelezo haya yametolewa leo katika kikao cha kumaliza robo ya nne ya mwaka 2017/18 cha baraza la madiwani kilichofanyika makao makuu ya Halmashauri ya Msalala

iliyoko kata ya Ntobo.

Awali akimkaribisha Mkuu wa Wilaya huyo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala Mhe. Mibako

mabubu amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wanamsalala

wanapata maendeleo kwani ameshiriki katika ziara mbalimbali za kimaendeleo  zilizofanyika katika

 Halmashauri ya Msalala na kumwomba aendelee na jitihada hizo.

Ndugu Macha amewataka waheshimiwa madiwani kuwatumikia wananchi kama ilani ya chama cha

Mapinduzi inavyotaka kwa kuwa wananchi tayari walishamaliza kazi yao kwa kuwachagulia mafiga

 matatu kama walivyoomba hivyo ni jukumu la Madiwani sasa kuhakikisha miradi inayofanyika katika

maeneo yao wanaisimamia na kuhakikisha inakamilishwa kwa ubora sambamba na kuanza kutumika

ili wananchi waone matunda ya Serikali yao, alitoa wito kwa jamii kuitunza miradi hiyo. Mwisho Mkuu

wa Wilaya huyo aliwataka watumishi kuhamia Ntobo ili waweze kufanya kazi kwa ufasaha nay eye

amesema atatenga siku za kufanya kazi katika Halmashauri zote 3 na kumwomba Mkurugenzi wa

Halmashauri ya Msalala kumpatia Ofisi ili aweze kutatua changamoto za Wakazi wa Msalala kwa

Ukaribu sambamba na kutembelea miradi ya maendeleo.

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Msalala

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.