• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

"Mnaupiga mwingi mpaka umepitiliza"

imetumwa: August 1st, 2023

Kauli hii imetolewa na Kiongozi wa Mwenge Kitaifa Ndg.Abdalla Shaib Kaim alipokuwa akihutubia wananchi wa Halmashauri ya Msalala katika kijiji cha kakola ambapo mwenge wa uhuru utakesha

na tarehe 02-08-2023 kukabidhiwa Halmashauri ya Nyagwale mkoani Geita.Kiongozi huyo ametoa kauli hiyo kutokana na kuridhishwa na miradi iliyotekelezwa ndani ya Halmashauri kwani miradi

yote ni mizuri,imejengwa kwa viwango vya juu sambamba na miradi hiyo kuwa na nyaraka zote za ujenzi, hongera sana watumishi mnaitendea haki Serikali ya awamu ya sita kwa kufanya kazi kwa

weledi,endeleeni kuwatumikia Watanzania kwa moyo huu wa kuthamini mali za Serikali na kuzisimamia.


Kiongozi huyo ameitaka jamii kuhakikisha inapinga mapambano dhidi ya rushwa kwa kutoa taarifa sehemu stahiki,kujikinga na ugonjwa wa Maleria na ukimwi sambamba na kuunga mkono mapambano

dhidi ya madawa ya kulevya pia jamii izingatie lishe kwa afya njema,jamii itumie zaidi matunda na mbogamboga na kupunguza na matumizi ya vyakula vya wanga na sukari sanjali na kufanya

mazoezi walau nusu saa kila siku.

Ndg.Abdalla Shaim Kaim amewapongeza wananchi wa Halmashauri ya Msalala kwa kuwa wazalendo kwani mahali pote mwenge ulipopita wananchi wamejitokeza kwa wingi na kuulaki mwenge huo hakika

mwamko huu wa wananchi unaonyesha jamii ya Msalala wanajali na kuthamini mbio hizi za mwenge wa Uhuru na kuwaomba Watanzania kuiga mfano huo.Mwisho amewataka wananchi na watazania kwa

ujumla kuilinda na kuitunza miradi yote inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu kwani kwa kufanya hivyo tunakuwa tunamuunga mkono kwa vitendo.



Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.