• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

"Msibadili matumizi ya Majengo"

imetumwa: May 24th, 2023

Kauli hii imetolewa leo katika Risala ya mgeni rasmi MHE. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga ambaye amewakilishwa na Mkuu

wa Wilaya ya Kahama MHE.Mboni Mhita ambaye amewapongeza wawakilishi wa Viongozi wa mashirika ya UN-WOMEN, UNFPA

na KOICA kwa kuwezesha wana Msalala kuwa na vituo vya kuweza kuilinda jamii dhidi ya matukio ya unyanyasaji wa

kijinsia na kuiasa jamii kuvitumia vituo hivyo.

Kwa upande wake Daktari mfawidhi wa kituo cha Afya Bugarama DR. Kayanda amepongeza jitihada zinazofanywa na Serikali

ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DR.Samia Suluhu za kusogeza huduma karibu

na jamii kwani Bugarama ni eneo ambalo limezungukwa na mgodi mkubwa wa dhahabu wa Bulyanhulu hivyo uwepo wa huduma

shufa ( one stop centre) kutawezesha jamii kupunguza gharama kwa kuwa huduma zote zitapatikana sehemu moja.


Nao wawakilishi wa Mashirika ya KOICA, UN-WOMEN na UNFPA katika risala zao wameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano

wa Tanzania inayoongozwa na Rais DR. Samia Suluhu kwa kudumisha uhusiano mzuri na Serikali ya Japan ambao ndio wafadhili

wakuu katika majengo haya na shughuli mbalimbali zilizotekelezwa katika Mkoa wa Singida na Shinyanga. Wameongeza kusema

uwepo wa vituo hivi kutasaidia jamii kuripoti na kupatiwa utatuzi wa matatizo yanayowakabili jinsia na watoto.


Sambamba na kumshukuru Mkurugenzi Mtendaji na Mkuu wa wilaya ya Kahama kwa kukubali kuunga mkono jitihada za mashirika

hayo kwani Mkurugenzi Mtendaji (W) ndg. Charles Fussi ameahidi kujenga majengo mawili ya huduma shufa (one stop center)

katika kata za Bulige na Isaka ambapo kila mwaka atakamilisha kituo kimoja kwa gharama ya Tshs. 50,000,000.


                                    Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,

                                                  Halmashauri ya Msalala.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.