• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Baruapepe za watumishi |
Msalala District Council
Msalala District Council

Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
    • Idara
      • Aridhi na Nyumba
      • Maendeleo ya jamii
      • Mipango Takwimu na Tathimin
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Maji
      • Ujenzi na Miundombinu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Madini
    • Utalii
    • Kilimo
    • Misitu
    • Ufugaji Nyuki
    • Viwanda
    • Usafirishaji
    • Michezo na Burudani
    • Ufugaji
    • Biashara
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Kukodisha Mitambo
    • huduma za Afya
    • huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Animal Keeping
    • Kilimo
    • Huduma kwa Watumishi
    • Tasaf
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Councillors meeting
      • Chairperson Appointment
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance and Planning Committee
      • HIV Committee
      • Health and Education Committee
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Hatua
      • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Ripoti
    • Mpango mkakati
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Matukio Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi aipa kongole Msalala

imetumwa: March 1st, 2024

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi na Mjumbe wa Kamati Kuu Taifa NDG.Maganya amempongeza Mbunge wa jimbo la Msalala MHE.Alhaj Idd Kassim Idd kwa kuiwakilisha vema jimbo la Msalala na hivyo

Kuiomba Serikali kuleta fedha nyingi za kutekeleza miradi ndani ya Halmashauri ya Msalala,pia amelipongeza Baraza la Madiwani linaloongozwa na MHE.Mibako Mabubu mwenyekiti wa Halmashauri na

Timu ya Wataalamu inayoongozwa na NDG.Khamis Katimba Mkurugenzi Mtendaji (W) kwa kutekeleza miradi hiyo kwa ubora na viwango vya juu,hakika mmeitendea haki fedha iliyotolewa kwani majengo yame

pendeza.


Akiwasilisha taarifa ya ujenzi wa Kituo cha Afya kwa mgeni rasmi,Injinia Magoto kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuthamini wananchi wa Halmashauri hiyo

kwa kuwa ndani ya kipindi kifupi fedha zimepokelewa za kujenga vituo vya Afya 5 katika kata za Segese,Bulige,Mwanase,Mwalugulu na Isaka.Gharama ya kujenga kituo cha Afya Bulige hadi kukamilika kwake

kitagharimu Tsh.650,000,000 na kimebakiza majengo 2 ambayo kufikia mwezi wa 5 yatakamilishwa, kwa sasa kituo hicho kinatoa huduma za wagonjwa wa nje (OPD) na huduma ya mama na mtoto.


Nae Mbunge wa Jimbo la Msalala Alhaj Idd Kassim Idd amemshukuru Mwenyekiti huyo na viongozi aliyoambatana nao kwa kutembelea Halmashauri ya Msalala na kuona mradi wa Kituo cha Afya Bulige na kusikiliza

na kutatua kero za wananchi wa kata ya Bulige na kumwomba kufikisha shukrani za pekee za wananchi wa jimbo la Msalala kwa kuwezesha vituo vya Afya,Zahanati,Madarasa,vyoo,maji na miundombinu ya barabara

kurekebishwa kwani ukitembea ndani ya jimbo hilo kila kona miradi inaendelea kutekelezwa.


Kwa upande wao wananchi wameomba Kituo hicho cha Afya kianze kutoa huduma kwani miundombinu yote muhimu ipo,suala ambalo Mganga mkuu wa Halmashauri hiyo DR. sisti Mosha ameahidi kuanza ndani ya siku 4

kwa kuwa Serikali tayari imeleta baadhi ya vifaa tiba vya kuwezesha kituo hicho kuanza kutoa huduma.Suala hili pia Mkurugenzi Mtendaji(W) amelipokea na kuagiza watumishi kuhamia tarehe 04-03-2024 na

shughuli zote zitolewe hapo.Akiahilisha Mkutano wa hadhara huo Mwenyeketi wa Jumuiya na Mjumbe wa Kamati kuu huyo ametoa rai kwa jamii kama wazazi kuitunza na kuilinda miradi yote inayotekelezwa kwa

manufaa ya vizazi vijavyo.

Matangazo

  • Bofya hapa kupata Orodha ya watakaofanya Usaili kwa ajili ya kuboresha Daftari la Wapiga Kura August 02, 2024
  • PAKUA HAPA MATOKEO YA USAILI TAREHE 10.10.2024 October 10, 2024
  • PAKUA ORODHA YA WATAKAOFANYA USAILI WA ANA KWA ANA 10-09-2023 September 09, 2023
  • Pakua Tangazo la nafasi za kazi la 08.07.2024 July 10, 2024
  • Tazama yote

Habari mpya

  • MAELEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA MSALALA

    September 26, 2024
  • Mashujaa wa Michezo ya watumishi nchini wapongezwa.

    September 13, 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji ahimiza jamii kufanya mazoezi

    September 09, 2024
  • Hamasa la vijana lafunika mbio za mwenge

    August 14, 2024
  • Tazama yote

Video

Hamasa kwa jamii kujitokeza kugombea uongozi Mamlaka ya Serikali za Mitaa
Video

Viunganishi vya Haraka

  • MKATABA WA KUKODISHA MITAMBO

Viunganishi fanano

  • TAMISEMI Website
  • Shinyanga Website
  • Ajira portal
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Habari, Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

Anuani Nyingine

   

    • sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Msalala. Haki zote zimehifadhiwa.